Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 208
Waziri Mkuu Mstaafu EL amewasili Mkoani Kigoma hv punde. Amealikwa kuja kuendesha Harambee kanisa la PENTEKOSTE ..............
Mengi Tutawajuza.
UPDATE:
Lowassa achangishia kanisa mamilioni
Zaidi ya Shilingi milioni 125 zilipatikana katika harambee ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Kidingo mkoani Kigoma iliyoendesha na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa.
Lowassa na marafiki zake walichangia Sh. nilioni 65 kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo iliyoko Kata ya Mwandiga wilayani Kigoma.
Uchangiaji huo ulifanyika jana katika Kanisa la FPCT na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wabunge wa mkoa wa Kigoma na madiwani.
Akizungumza katika hafla hiyo, Lowassa alisema watu wengi wanapenda kuitumia nguvu ya maaadamano badala la nguvu ya kuleta maendeleo katioa ujenzi wa shule.
Alisema kuna vijana wengi waliokosa ajira, ambao alisema ni bomu linalosubiri kulipuka. Alisema vijana wengi wanamali za shule na vyuo, lakini wanakosa ajira.
Aliiomba serikali na wadau mbalimbali nchini kukaa chini kupanga mikakati ya namna ya kuwasidia wapate ajira.
Aidha, aliwataka watu waliomali za masomo wasisubiri ajira za serikali badala yake wajiunge katika vyuo vya ufundi stadi ili wajiajiri.
CHANZO: NIPASHE (Jan 10, 2012)
Mengi Tutawajuza.
UPDATE:
Lowassa achangishia kanisa mamilioni
Zaidi ya Shilingi milioni 125 zilipatikana katika harambee ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Kidingo mkoani Kigoma iliyoendesha na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa.
Lowassa na marafiki zake walichangia Sh. nilioni 65 kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo iliyoko Kata ya Mwandiga wilayani Kigoma.
Uchangiaji huo ulifanyika jana katika Kanisa la FPCT na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wabunge wa mkoa wa Kigoma na madiwani.
Akizungumza katika hafla hiyo, Lowassa alisema watu wengi wanapenda kuitumia nguvu ya maaadamano badala la nguvu ya kuleta maendeleo katioa ujenzi wa shule.
Alisema kuna vijana wengi waliokosa ajira, ambao alisema ni bomu linalosubiri kulipuka. Alisema vijana wengi wanamali za shule na vyuo, lakini wanakosa ajira.
Aliiomba serikali na wadau mbalimbali nchini kukaa chini kupanga mikakati ya namna ya kuwasidia wapate ajira.
Aidha, aliwataka watu waliomali za masomo wasisubiri ajira za serikali badala yake wajiunge katika vyuo vya ufundi stadi ili wajiajiri.
CHANZO: NIPASHE (Jan 10, 2012)