Fanyeni Hivi kwa kunikumbuka mimi, Ndivyo Yesu alivyonena, mie huku nikiona umeme umekatika, au mwisho wa mwezi naongezewa buku 7 za service tiyari namkumbuka Lowasa. Nikisikia mtu anamtaja nakumbuka maumivu ya kufilisika kwa sababu ya kukosa umeme makusudi ili Richmondi ifanye kazi.