Lowassa na Sitta, nani mkubwa kiumri?

Lowassa na Sitta, nani mkubwa kiumri?

Riziki Magembe

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
886
Reaction score
206
Wana jamvi napenda kujua kati ya wawili hawa nani ni mkubwa kiumri zaidi ya mwenzake?lakini pia kitaalum nani zaidi kwa wanasiasa hawa maarufu nchini tanzania?
 
Baada ya sita ni Saba.....low ni chini au kidogo
 
Samwel Sitta alizaliwa tarehe 18 December 1942 na Edward Lowassa alizaliwa tarehe 26 AUG 1953.

Kwa hiyo Samwel Sitta ana miaka 72 na Edward Lowassa ana miaka 61.
 
Wana jamvi napenda kujua kati ya wawili hawa nani ni mkubwa kiumri zaidi ya mwenzake?lakini pia kitaalum nani zaidi kwa wanasiasa hawa maarufu nchini tanzania?
nani mkubwa kuliko mwenzake au nani mzee zaidi kuliko mwenzake? in short wote wazee tena sana tu lakin mmoja pamoja na uzée afya vlevle ni tatizo.
 
Samwel Sitta alizaliwa tarehe 18 December 1942 na Edward Lowassa alizaliwa tarehe 26 AUG 1953.

Kwa hiyo Samwel Sitta ana miaka 72 na Edward Lowassa ana miaka 61.

Kumbe kikwete ni kikongwe kwa Lowassa eeh? Na kwa nini wote afya zao ni matatzo?
 
Umesikia huku kuna wajukuu zake mpk wakajua umri wa babu zao.Wote wazee basi
 
ww rojo acha watu wamdiscus rais wao ajaye!!kama hutaki kuchangia kamsaidie mkeo kuosha vyombo manake nayo ni kazi

Hapa ni jukwaa la siasa, umri nao ni siasa? Hapa ni sehemu ya kujenga hoja, tujenge hoja gani kuhusu umri. Kama kuna jambo ambalo muleta thrd alitaka kulihusisha na umri angeandika ili tujadili kwa hoja. Umri!

Uonavyo wewe umri wa lowasa au Sita unahusu kitu gani hapa JF. Yaani unadhani tuna muda wa kupoteza kiasi hicho? halafu unatuambia Rais ajaye wapi. Kwa nini usiwe wewe? au elimu tatizo?
 
Tatizo huyo 72 ana nguvu za mwili bado ila huyo mdogo ni spana mkononi
 
Mungu awape Maisha marefu wote bado ni hana ya Taifa.
 
Hivi hakuna mwingine atakae tufaa come 2015 zaidi ya hawa waismiwa
 
Age is just numbers!

Usidanganye watu wewe.
Mzee haruhusiwi kukopa. kwanini?
Mzee haruhusiwi kua mkurugenzi hata kama kampuni ni yake. kwanini
Mzee haruhusiwi kufanya kazi. kwanini
Mzee haruhusiwi kua na nyumba ndogo. kwanini.
Wazee hawaruhusiwi kukaa Dar es Salaam. kwanini. kama mzee atakua rais atakaaje ikulu waqt kufika Dar haruhusiwi ¿
Sasa kazi nyeti ndio tuwape wazee kwisha kazi. Thubutu !!!!!!!
 
Back
Top Bottom