Lowassa na Sitta, nani mkubwa kiumri?

Lowassa na Sitta, nani mkubwa kiumri?

Samwel Sitta alizaliwa tarehe 18 December 1942 na Edward Lowassa alizaliwa tarehe 26 AUG 1953.

Kwa hiyo Samwel Sitta ana miaka 72 na Edward Lowassa ana miaka 61.
Wote hawafai kuongoza nchi hii . Kwa sababu wote wako ccm.
 
Mkuu umefanya utafiti wa kutosha juu ya hili?

Kule kwetu ukiona babu ana nyumba ndogo basi mjukuu anatumwa aende mle nyumbani kwa nyumba ndogo avue nguo zote halafu atoke amevaa khanga moja ya huyo bi mdogo ili babu ajue wanaokula ni wengi
 
Usidanganye watu wewe.
Mzee haruhusiwi kukopa. kwanini?
Mzee haruhusiwi kua mkurugenzi hata kama kampuni ni yake. kwanini
Mzee haruhusiwi kufanya kazi. kwanini
Mzee haruhusiwi kua na nyumba ndogo. kwanini.
Wazee hawaruhusiwi kukaa Dar es Salaam. kwanini. kama mzee atakua rais atakaaje ikulu waqt kufika Dar haruhusiwi ¿
Sasa kazi nyeti ndio tuwape wazee kwisha kazi. Thubutu !!!!!!!

Una maanisha huyu wa chalinze ndiyo wa mwisho siyo??au
 
Wana jamvi napenda kujua kati ya wawili hawa nani ni mkubwa kiumri zaidi ya mwenzake?lakini pia kitaalum nani zaidi kwa wanasiasa hawa maarufu nchini tanzania?

Kiumri Sitta ndo mkubwa. Kwa level ya Elimu ngoja niingie kwenye database yangu
 
Back
Top Bottom