Lowassa na genge lake Vs gesi yetu!

[QUwOTE=njiwa;13856583]Lowassa, masha, sumaye , rostam aziz ... Mtakuwa mmebadilisha nini?[/QUOTE]

Wamekaririshwa hao hata ukitaka kununua chungwa unambiwa ndiyo maana tunataka mabadiliko ili bei ya machungwa ishuke...hawajui huu si msimu wa machungwa! Ndiyo maana mamba wa mto mara wanafaidi
 
Mmh kwa maskendo yke lowasa hafai ataimaliza nchi
 
Lowasa ni mtu mwepesi tu anapigwa chini 25 October then atatafuta pa kuishi
 
Hata uandike nini kura yangu ni kwa lowassa
 
Laiti kama kila mtu angelikuwa ana moyo mwepesi wa kuweka mambo hadharani basi yule jamaa hawahawa wanaomshabikia wangempiga mawe ila inabidi tuwe na maadili ya kukaa kimya ili nchi isiyumbe.

Hongera kikwete na ccm pamoja na vyombo vyote vya ulinzi na usalama kwa kuliona hilo.
 

Ttytfgy
 
Rais wa kuanika juani, mchana watu wanapiga dili then jioni wanua wanarudisha ndani
 
Sipati picha Lema akiwa Waziri, kazi itapigwa balaa!
 
Watanzania Lowassa hatokuwa peke yake. Atakuwa na timu nzima ya makamanda nyuma yake. Nchi haitawaliwi na mtu bwana CCM msitudanganye. Kinatawala chama. Viva CHADEMA viva UKAWA!

Hiyo timu ya makamanda wako wapi wakati hata katika kampeni haandamani nao??
 
Hivi Lowasa ndio aliyepitisha miswada ya mafuta na gesi kwa hati ya dharura?
 
Hata lowassa akiiuza tanzania kwa marekani bado ntampigia kura aniuze tu maana hakuna nam nyingine, sio gesi tu, hata akituuza watanzania tuko radhi.

Yesuuu komnyo ya kwansa, wewe akili iko kwenye makalio sio bure, mtu mwenye akili timamu hawezi sema ulichoandika.
 
]Lowasa ndyo kiboko yenu akiingia lazma mikataba yote ipitiwe upya[/B].. Hapa lazima atapike mtu

Akiingia wapi? Segerea au ICU Muhimbili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…