Lowassa na genge lake Vs gesi yetu!

Lowassa na genge lake Vs gesi yetu!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Baada ya kujimilikisha Migodi yetu yote ya TanZania na kuwaachia wenyeji mashimo sasa fisadi Lowasa na Genge lake wamegeukia Gesi yetu, hii Gesi ndiyo inayowapeleka puta, hizi kelele zote, huku kutafuta Uraisi kwa gharama yoyote ile kwanza kulianzia ndani ya CCM kukashindikana na sasa kumehamia chadema kuna lengo moja tu nalo ni Gesi yetu iliyogunduliwa kwa wingi huko Pwani ya Kusini mwa nchi yetu!

Mafisadi wakiongozwa na Lowasa baada ya Wazalendo wa CCM kuwashtukia na kuwanyima Uraisi sasa wamehamishia nguvu zote upande wa Upinzani dhidi ya Chama Dola rejea watu walio kwenye Genge la Fisadi Lowasa ni Mengi huyu anajulikana kwa ugomvi wake na Waziri Muhongo baada ya kunyimwa kitalu cha Gesi kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kukiendeleza, Rostamu Aziz huyu ndiye mwizi mkubwa wa Rasilimali zetu rejea nani anatenda ya Migodi yote ya dhahabu nchini, Karamagi huyu ndiye aliyeuza Migodi yetu hotelini huko nchini Uingereza, Rugemalira huyu ndiyo King maker wa Escrow na saga lote la Richmond n.k

Hivyo kama MtanZania na mpenda nchi yangu naishukuru sana Kamati ya maadili kwa kuliona hilo na kulikata jina la fisadi Lowasa, ikumbukwe kwamba Kamati ya maadili inajumuisha maraisi wetu wastaafu na watu wetu wa Usalama hivyo kuna mambo waliyoyaona ambayo sisi watu wa kawaida hatuna uwezo wa kuyaona ila ni jukumu letu kuwaelimisha Manyumbu ambao wananunuliwa viroba na fisadi Lowasa ili walete fujo!

Hongereni Kamati ya Maadili ya CCM!
 
escrow; epa;madawa ya kulevya; meno ya Tembo ;kuuzwa viwanda ;kukosa dawa hospital; umasikini ;rushwa; uonevu.ndani ya nchi hii..na mengine mengi.. yote hayo ni EL
 
escrow; epa;madawa ya kulevya; meno ya Tembo ;kuuzwa viwanda ;kukosa dawa hospital; umasikini ;rushwa; uonevu.ndani ya nchi hii..na mengine mengi.. yote hayo ni EL

Ndiyo! Fisadi Lowasa na Genge lake ndiyo waliofanya huwo wizi wote!

 
Lowassa Ni Mwizi Fisadi Na Mtu Anaetumia Ofisi Za Serikali Kucheza Dili.Ameshatupiga Sana Yeye Na Genge Lake La Wezi.Hana Sifa Za Kwenda Ikulu.Baba Wa Taifa Alishasema Watu Kama Hawa Wanastahili Kuogopwa Kama Ukoma.Mimi Binafsi Namuogopa Kama Ebola.Na Kamwe Simpi Kura Yangu Huyu Fisadi Papa.
 
Baada ya kujimilikisha Migodi yetu yote ya TanZania na kuwaachia wenyeji mashimo sasa fisadi Lowasa na Genge lake wamegeukia Gesi yetu, hii Gesi ndiyo inayowapeleka puta, hizi kelele zote, huku kutafuta Uraisi kwa gharama yoyote ile kwanza kulianzia ndani ya CCM kukashindikana na sasa kumehamia chadema kuna lengo moja tu nalo ni Gesi yetu iliyogunduliwa kwa wingi huko Pwani ya Kusini mwa nchi yetu!

Mafisadi wakiongozwa na Lowasa baada ya Wazalendo wa CCM kuwashtukia na kuwanyima Uraisi sasa wamehamishia nguvu zote upande wa Upinzani dhidi ya Chama Dola rejea watu walio kwenye Genge la Fisadi Lowasa ni Mengi huyu anajulikana kwa ugomvi wake na Waziri Muhongo baada ya kunyimwa kitalu cha Gesi kwa kuwa hakuwa na uwezo wa kukiendeleza, Rostamu Aziz huyu ndiye mwizi mkubwa wa Rasilimali zetu rejea nani anatenda ya Migodi yote ya dhahabu nchini, Karamagi huyu ndiye aliyeuza Migodi yetu hotelini huko nchini Uingereza, Rugemalira huyu ndiyo King maker wa Escrow na saga lote la Richmond n.k

Hivyo kama MtanZania na mpenda nchi yangu naishukuru sana Kamati ya maadili kwa kuliona hilo na kulikata jina la fisadi Lowasa, ikumbukwe kwamba Kamati ya maadili inajumuisha maraisi wetu wastaafu na watu wetu wa Usalama hivyo kuna mambo waliyoyaona ambayo sisi watu wa kawaida hatuna uwezo wa kuyaona ila ni jukumu letu kuwaelimisha Manyumbu ambao wananunuliwa viroba na fisadi Lowasa ili walete fujo!

Hongereni Kamati ya Maadili ya CCM!

Kikwete na bomba la gesi mpaka Bagamoyo, mikataba ya gesi na wachina wake unalizungumziaje?
 
Hata lowassa akiiuza tanzania kwa marekani bado ntampigia kura aniuze tu maana hakuna nam nyingine, sio gesi tu, hata akituuza watanzania tuko radhi.
 
Lowassa Ni Mwizi Fisadi Na Mtu Anaetumia Ofisi Za Serikali Kucheza Dili.Ameshatupiga Sana Yeye Na Genge Lake La Wezi.Hana Sifa Za Kwenda Ikulu.Baba Wa Taifa Alishasema Watu Kama Hawa Wanastahili Kuogopwa Kama Ukoma.Mimi Binafsi Namuogopa Kama Ebola.Na Kamwe Simpi Kura Yangu Huyu Fisadi Papa.

Yupo na Kikwete hapo kwenye hilo genge, tia na Magufuli pia.
 
Bora gesi ichukuliwe na Watanzania kuliko wazungu
 
Yatasemwa mengi, lakini nimeifunga akili yangu ili niipige chini ccm tuuuuuuuuuuuu, ukawa juuu..
 
mbona mnasahahu kumpigia kampeni maguful???????????????????????
 

Kikwete na bomba la gesi mpaka Bagamoyo, mikataba ya gesi na wachina wake unalizungumziaje?

Vyovyote vile tofauti ni kwamba Raisi Kikwete siyo mtu binafsi bali ni taasisi hata kama atakuwa amepeleka Gesi yetu Bagamoyo hilo siyo tatizo kwa maana Bagamoyo bado ni TanZania na kama Bagamoyo ikifaidika basi TanZania pia itakuwa imefaidika kwa maana mtu wa Tanga au Kigoma anaweza kwenda Bagamoyo na kupata kazi na isitoshe Raisi Kikwete muda wake umeisha na Raisi mwingine anakuja lkn Gesi yetu inabakia mali yetu tofauti na fisadi Lowasa na Genge lake ambao wanataka kujimilikisha wao pamoja na familia zao na hilo kosa la kuwapa madaraka likifanyika TanZania yetu kama tuijuavyo ndiyo bye bye tena na itachukua vita kubwa kama Kongo kuweza kuipokonya kutoka kwenye hili Genge!
Na ndiyo maana naipongeza sana tume ya maadili ya CCM kwa kuona mbali!

 
usifanye makosa october.

Mpeleke dr. Magufuli ikulu
.
 
Back
Top Bottom