Hivi hamchoki na hizo propaganda za lowassa kila siku? Kila uchwao ni lowassa lowassa......hakuna jipya? Ooh mara hasafishiki sijui habebeki....yaani inakera kuliko
Kumbukeni alieua, aliezini, alietamani mali ya mwenziwe, aliyetukana, asiyekwenda kusali/kuabudu kila siku ya bwana wote wana dhambi, tena hakuna dhambi kubwa kuliko nyingine kati ya hizo hapo juu. Sasa anayemshambulia lowassa yeye ana usafi gani hata apate ujasiri huo?
Kwa hakika mimi ishu ya richmond hata leo siijui ni kitu gani, na wala kuhusika kwa lowassa kwangu hakujawa bayana zaidi ya kuamini it's nothing short of gutter politics and mud slinging. And this shit is costing my country and shifting attention from discussing important issues