Lowassa mtaji wa CCM na upinzani

Lowassa mtaji wa CCM na upinzani

Centrehalf

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2013
Posts
509
Reaction score
145
Salaam wana jamvi.nimefurahishwa sana na mwenendo wa vigogo ndani ya CCM jinsi wanavyohangaikiia nafasi ya mgombea urais wa CCM mwaka 2015?

Nimesikia majina mengi ya wenye nia ya nafasi hiyo nyeti akiwemo mzee Sitta,Benard Membe,January Makamba,Edward Lowassa,na wengine wengi tu.

Katika mbio hizi wapo wanaofanya harakati zao kwa kificho sana,pia wapo ambao wanafanya harakati zao bila kificho akiwemo makamba,Sitta na Lowassa.

Katika kundi hili naweza kusema Lowassa kawapiga bao wenzie kwa staili yake yakuchangia na kuongoza harambee nyingi makanisani,misikitini na hata kwa waendesha bodaboda ametua.

Kwa upande wa chama Lowassa anawafuasi wengi kwenye vikao vya maamuzi ikiwemo nec na mkutano mkuu.kwa hayo machache niliyoeleza ni dhahiri kwamba lowassa ndiye mwenye nafasi kubwa kuliko wenzie wote kaitka mbio za kuwania urais mwaka 2015 kupitia ccm,kwa hiyo basi ili CCM itulie ni lazima Lowassa apewe nafasi hiyo.

Vinginevyo hata akishindwa lazima ahakikishe ameshindwa kwa haki.Na hata akishinda sidhani wakina Sitta,Membe na wengineyo kama watakuwa tayari kumpa ushirikiano.

kwa kifupi ni kwamba matokeo yoyote lazima yatakiacha chama cha ccm kwenye mgogoro mkubwa utakaokua na faida kwa wapinzani.

Nasema hivyo kwa sababu wapinzani wanafuatilia kwa karibu sana mchakato wa kumtafuta mgombbea urais kupitia CCM.

Na ni kwa maana hiyo upinzani unasema unauhakika wa kutwaa dola mwaka 2015 ni kwasababu lowassa akishinda wao wanasema hawatakua na kazi kubwa ya kuwaeleza madhaifu na madhambi ya lowassa na Lowassa akishindwa atakuwa amewasaidia kuisambaratisha CCM.

Kwa mantiki hiyo lowassa ni mtaji wa CCM na upinzani pasipo yeye kujua wala chama chake kujua.Lowassa ni mtego ndani ya mtego na wasilisha.
 
CCM wote wanamwogopa Lowasa ndo maana wapo akina Membe Sitta na hata makamba wanatangaza kugombea hakuna mtu anashtuka ila akisema Lowasa kila mtu anahoji hivi kuna tatizo gani na Lowasa. Au ndo ule msemo wa kunya anye kuku akinya bata kaharisha. Hakuna madhala yoyote ambayo CCM itapata kutokana na maamuzi ya nani awe mgombea urais ila wanachosubili wapinzani ni kuona mgombea wa CCM ni dhaifu tu. Zaido hawapendi awe Lowasa
 
MBONA HUYU hapa chini HUMSEMI, ambapo anaonyesha kuwa tishio kubwa sana kwa wapinzani!
Do you have anything negative with this guy ukiacha tatizo la kuuchukia upinzani extremely(which happens to be a culture of any ccm member)??
Wassira for presidency (ccm) 2015!
Stephen-300x234.jpg
 
lowasa ashafanywa atm jamaa, ila hapo ccm kweli kazi ipo wanaweza kupata mparanganyiko zaid ya huu unaoshuhudiwa cdm wasipokuwa makin
 
Kwa kumuweka lowasa kama hawataiba kura, ni mteremko kwa CDM
 
Salaam wana jamvi.nimefurahishwa sana na mwenendo wa vigogo ndani ya CCM jinsi wanavyohangaikiia nafasi ya mgombea urais wa CCM mwaka 2015?

Nimesikia majina mengi ya wenye nia ya nafasi hiyo nyeti akiwemo mzee Sitta,Benard Membe,January Makamba,Edward Lowassa,na wengine wengi tu.

Katika mbio hizi wapo wanaofanya harakati zao kwa kificho sana,pia wapo ambao wanafanya harakati zao bila kificho akiwemo makamba,Sitta na Lowassa.

Katika kundi hili naweza kusema Lowassa kawapiga bao wenzie kwa staili yake yakuchangia na kuongoza harambee nyingi makanisani,misikitini na hata kwa waendesha bodaboda ametua.

Kwa upande wa chama Lowassa anawafuasi wengi kwenye vikao vya maamuzi ikiwemo nec na mkutano mkuu.kwa hayo machache niliyoeleza ni dhahiri kwamba lowassa ndiye mwenye nafasi kubwa kuliko wenzie wote kaitka mbio za kuwania urais mwaka 2015 kupitia ccm,kwa hiyo basi ili CCM itulie ni lazima Lowassa apewe nafasi hiyo.

Vinginevyo hata akishindwa lazima ahakikishe ameshindwa kwa haki.Na hata akishinda sidhani wakina Sitta,Membe na wengineyo kama watakuwa tayari kumpa ushirikiano.

kwa kifupi ni kwamba matokeo yoyote lazima yatakiacha chama cha ccm kwenye mgogoro mkubwa utakaokua na faida kwa wapinzani.

Nasema hivyo kwa sababu wapinzani wanafuatilia kwa karibu sana mchakato wa kumtafuta mgombbea urais kupitia CCM.

Na ni kwa maana hiyo upinzani unasema unauhakika wa kutwaa dola mwaka 2015 ni kwasababu lowassa akishinda wao wanasema hawatakua na kazi kubwa ya kuwaeleza madhaifu na madhambi ya lowassa na Lowassa akishindwa atakuwa amewasaidia kuisambaratisha CCM.

Kwa mantiki hiyo lowassa ni mtaji wa CCM na upinzani pasipo yeye kujua wala chama chake kujua.Lowassa ni mtego ndani ya mtego na wasilisha.

Sikubaliani nawe Lowasa hayuko tena CCM anachofanya ni kumwaga mboga tu ili wakose wote kumbuka majibu aliyowajibu Nape na Mangula kuwa hata iweje kupitia CCM au chini ya mti yeye ni Rais tu. Utamwita CCM hiyo?!
 
MBONA HUYU hapa chini HUMSEMI, ambapo anaonyesha kuwa tishio kubwa sana kwa wapinzani!
Do you have anything negative with this guy ukiacha tatizo la kuuchukia upinzani extremely(which happens to be a culture of any ccm member)??
Wassira for presidency (ccm) 2015!
Stephen-300x234.jpg

Mkuu, naona hauna nia nzuri na mbavu zangu!
 
Sikubaliani nawe Lowasa hayuko tena CCM anachofanya ni kumwaga mboga tu ili wakose wote kumbuka majibu aliyowajibu Nape na Mangula kuwa hata iweje kupitia CCM au chini ya mti yeye ni Rais tu. Utamwita CCM hiyo?!

Basi andamana kama huwezi tafuta uraiya wa nchi jirani kama Nape.
 
Kwa fisadi kama LOWASA CHADEMA watapita kama wananawa, itakuwa ni maajabu ya dunia kumpa kura mtumishi wa serikali mwenye uwezo wa kutoa pesa kwenye harambee za kidini kama njugu, hizo pesa anazitoa wapi kama si pesa yako aliyoiba na kuwekeza kwenye biashara?
 
Duuu kwa hii sura hata kwa mke wake atakua tishio
MBONA HUYU hapa chini HUMSEMI, ambapo anaonyesha kuwa tishio kubwa sana kwa wapinzani!
Do you have anything negative with this guy ukiacha tatizo la kuuchukia upinzani extremely(which happens to be a culture of any ccm member)??
Wassira for presidency (ccm) 2015!
Stephen-300x234.jpg
 
CCM wana akili sana,ikifika kipindi hicho wenye viherehere watanywea na mgombea urais atakayekubaliwa anapeta
 
MBONA HUYU hapa chini HUMSEMI, ambapo anaonyesha kuwa tishio kubwa sana kwa wapinzani!
Do you have anything negative with this guy ukiacha tatizo la kuuchukia upinzani extremely(which happens to be a culture of any ccm member)??
Wassira for presidency (ccm) 2015!
Stephen-300x234.jpg

Haki za wanyama hawatakubali kuwa na rais maana ni kumpa chimp majukumu makubwa....ila kwa upande mwingine tutakuwa yumeweka historia kwa chimp kuwa rais
 
Kwa fisadi kama LOWASA CHADEMA watapita kama wananawa, itakuwa ni maajabu ya dunia kumpa kura mtumishi wa serikali mwenye uwezo wa kutoa pesa kwenye harambee za kidini kama njugu, hizo pesa anazitoa wapi kama si pesa yako aliyoiba na kuwekeza kwenye biashara?

Hujui unalolisema...lowasa akisimama ccm watashinda 90%
 
analysis ya mleta mada ina ukweli juu ya makundi yanayosigana ndani ya ccm, lakin haiwez kuleta utengano ndani ya ccm kwa kiasi hicho kama alivotabiri. ccm ni chama kimejengwa kwa misingi imara.., hakuna aliye maarufu kuzidi chama na ndio maana mwanachama yeyote ndani ya ccm anaamin chama ndo mtaje wake kisiasa. and will never do anything to jeopardize its integrity. watapishana mawazo, atateuliwa mtu wasie mtaka kuwa raisi lakin wakitoka nje, wote wataungana na kusahau tofauti zao ili kufanikisha malengo ya ccm kuchukua dola, maana wanajua faida yake kwao. nayasema haya kama mkereketwa wa cdm, sababu naona jinsi mgogoro unavotuvurugia chama, coz tumeacha watu kuwa maarufu kupita chama. ndio maana mtu anatamka maneno makali dhidi ya viongozi wake, maana ajaua hata chama kikifa atasimama mwenyewe na kufanikisha malengo yake. lowasa alijiuzuru uwazili mkuu, na maneno kibao yakasemwa juu yake, lakin hakufungua mdomo kuzungumza lolote. maana alijua angeharibu chama. alipokuja kufunguka yake ndani ya mkutano w chama(sio kwenye media) watu wote walimuona mtu mwema ndo mpaka leo anathubutu kusema atagombea urais. haya ndo mambo tunatakiwa kujifunza wana cdm, tuweke chama mbele. tuzungumze na kumaliza matatizo yetu ndani ya vikao vyetu, tukitoka tunashikana mikono tukiwa na umoja, ndo watu watatuelewa kuwa tuna nia ya dhati ya kuwakomboa.
 
Ongeeni mnavyojua lakini zengwe lolote dhidi ya Lowassa awamu hii ndo mwisho wa CCM huko mnampaka matope kuwa kawafisadi,mnafahamu maana ya fisadi? Kama watu wanahogwa mfn Zitto je viongoz kama hao wakipewa nchi?! Viva Lowassa.
 
MBONA HUYU hapa chini HUMSEMI, ambapo anaonyesha kuwa tishio kubwa sana kwa wapinzani!
Do you have anything negative with this guy ukiacha tatizo la kuuchukia upinzani extremely(which happens to be a culture of any ccm member)??
Wassira for presidency (ccm) 2015!
Stephen-300x234.jpg

Hapo amesmile au?
 
sisi m tuna hazina nyingi sana, nyie mnafikiria mtu mmoja tu
wapo watu wataibuliwa na chama na nyie mtawakubali tu
sisi m tuko makini hatugombani km wengine mnaowaona
chaguzi zetu zinaigwa na vyama vingine
kifupi sisi m hatuangalii mtu mmoja tu, tunaangalia mazuri na tutanadi mazuri tuliyoyafanya
hazina tuliyonayo ni kubwa, ya watendaji na mazuri tuliyoyafANYA
 
Back
Top Bottom