Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,789
- 2,159
Mgombea urais wa CHADEMA na anayeungwa mkono na umoja wa UKAWA Ndg. Edward Lowassa na Mwenyekiti wa CHADEMA Ndg. F. Mbowe wamependekezwa kupewa tuzo ya amani barani Africa kwa kukuza lugha za demokrasia badala ya chuki.
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeelezwa kupoteza mwelekeo badala ya kufumbia macho matusi, uongo, kejeli na kuchochea vurugu.
(see, attached dc).
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeelezwa kupoteza mwelekeo badala ya kufumbia macho matusi, uongo, kejeli na kuchochea vurugu.
(see, attached dc).