mbombo mte
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 713
- 197
Waheshimiwa hawa ni mfano wa kuigwa! Hasa EL ameonyesha kukomaa na ndiyo maana bado ni asset! Upande wa pili nafikiri pipili haitoki kooni!
Ni asset kwa ufisadi.
Waheshimiwa hawa ni mfano wa kuigwa! Hasa EL ameonyesha kukomaa na ndiyo maana bado ni asset! Upande wa pili nafikiri pipili haitoki kooni!
Ni asset kwa ufisadi.
Mara nyingi ukipendekezwa huwa unapewa. Labda itokee ukafanya madudu kabla ya siku ya kupewa. Au ukawa na mpinzani mwingine ndani ya nchi yako. Sasa hawa wawili hawana wapinzani, kwa hiyo tuzo wanaweza wakazipata.
Toeni umangi wenu humu. Tuzo itolewe Moshi? Ulitegemewa apewe nani kama sio hao. Hizo ni kiki za mwisho kumpa Lowassa kabla haparuliwa vibaya na msukuma nyie toeni tuzo hadi tozo mjue Kaskazini ishatekwa zamaaani
Watapewa na Waasi wa Seleka na Anti Balaka..wa CAR..religious politics of lutheran and regionalism is a deadly poisonous.