Lowassa mbioni kuinusuru Hoteli ya KKT, Corridor Spring


Hii hotel inaaiwa zaidi ya 10 billion bro sio bilion 1, tumeshaendesha harambee za ndani kwa dayosisi mzima zaidi mara 2 kwa kila mkristo kutoa shs 30,000/= kwa dayosisi mzima, mie mwenyewe nimechangia sana tu, kiukweli kanisani nako kuna ufisadi tena mwingi tu na ninajua hata kama sie tutaunyamazia watoto wetu wa vizazi vijavyo watakuja kuwapiga wachungaji na maaskofu mawe! halafu nasikitika kwa system ya kkkt askofu akimess up hawezi kuwajibishwa, ingekuwa ni roma askofu lazima alishawajibishwa!! ila all in all makanisa tena yote kuna ufisadi mwing sana unafanyika
 
Mungi umesema neno.
Kanisa limeingia kufanya biashara ambayo wao wenyewe wamejiwekea barrier ktk mambo fulani.
Walishashauriwa muda mrefu waikodishe kwa makampuni yanayo-deal na mambo ya hotel kama Serena n.k hawakutaka.

Uongozi wa kanisa ulichokuwa unafanya ni kufisadi kila kilichokuwa kinafanyika ktk hoteli hiyo Karyongi akiwa kinara mkuu.

Kwa wanaomjua meneja mkenya aliyeletwa na Karyongi watakuwa wanaelewa ufisadi uliokuwa unafanyika.

Waumini wameshaambiwa mara nyingi tu wachange na wakachanga lkn bado deni haliishi.
 
Last edited by a moderator:
si afadhali hao wanaojaribu wanapata hasara,muda mwingne wakirudia tena wanafaulu kwasabu washajuwa jinsi ya manage,kuliko nyie mmebakia kununuwa suruali na kuzikata na vibarakashee
 
Wakati mwingine Viongozi wakiLUTHERI wanawafanya waumini wao km CCM inavyosulubisha waTZ nakuwaona maBWEGE! kuna Usharika DAR ilikuwa inajengwa HOSTEL watu 2kahoji Waumini watanufaikaje nahiyo HOSTEL? hakukuwa na majibu nnavyokwambia HOSTEL ina DENI hata haiujulikani latalipwaje! Miradi mingi yakiLUTHERI cjui haifanyiwi uchambuzi wakutosha kabla yakuanzishwa au vp DAR kuna RADIO UPENDO lkn kila mwaka Sharika zinaichangia ss hv wamefungua BANK ctashangaa waumini wakiambiwa wachangie uendeshaj fuly uBABAISHAJ
 
si afadhali hao wanaojaribu wanapata hasara,muda mwingne wakirudia tena wanafaulu kwasabu washajuwa jinsi ya manage,kuliko nyie mmebakia kununuwa suruali na kuzikata na vibarakashee

Ndg unakosea kusema namna hiyo KKKT ni 1 ya Dhehebu lenye waumini wengi na wataalam kwenye Sector mbali mbali kuniambia kuwa wanajaribu cdhani km ni sahihi! Tatizo wanaonufaika ni wachache na mradi ukitaka kufilisiwa wataletwa waHUBIRI mbali mbali kuja kufundisha UTOAJI hii nikuwadharau waumini!
 
Yule mkenya ni shemeji yake na karyongi na yeye ndio alimweka hapo ili waifisadi hiyo hotel. Kwahiyo anajua mahali alipokimbilia

huyo kariyongi amechukuliwa hatua zozote mbali na kuvuliwa ukatibu mkuu..?
 

wajenge chuo kabisa
 
Wana bodi!!
Hatimaye lile jembe la kaskazini Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh. Edward Lowassa aingilia kati mgogoro wa hotel ya KKKT corridor spring isiuzwe.

.
Rekebisha hapo kwenye red tafadhali.
 
ila kama kweli watamalza den la hyo hotel,wahakikishe viongoz wa dini wanakaa mbali na hoteli hii,watakuw wanapew taarifa tu
 
Lowassa ana haki kabisa ya kufanya hivyo;
yeye anajua utamu wa maeneo ya kanisa hasa hilo hilo la kkkt.
 
Pesa ya kujenga hoteli watoe waumini (na zilipatikana pesa za kutosha floor 6), njama ya kukopa aianzishe yeye na askofu Rafiki yake, wale wao pesa iliyokopwa leo hii mtu huyo huyo eti anashangiliwa kuwa kaiokoa hoteli isiuzwe!!! Kweli aliewaloga Watanzania kafa!

Mnamshangilia mwizi???!!!!!???
 
Hakika umesomeka na umenena Mungi.

 
Last edited by a moderator:

Nina wasiwasi kama ww utakuwa siyo kariongi anayetuhumiwa kuifilisi hotel ya corridor spring,bas kariongi ni baba yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…