AzimiolaArusha
Senior Member
- Nov 9, 2011
- 141
- 88
Wana bodi!!
Hatimaye lile jembe la kaskazini Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh. Edward Lowassa aingilia kati mgogoro wa hotel ya KKKT corridor spring isiuzwe.
Hili limejitokeza baada ya hotel hiyo kukopa fedha katika benki ya CRDB na kushindwa kulipa,ina sadikika hotel hiyo miaka ya nyuma ilichukua kiasi kikubwa cha hela na kushindwa kurudisha na kupelekea deni kufikia zaidi ya bilioni moja.
Jana mh. Lowassa alifnya kikao kikubwa na wafanyabiashara wakubwa kuhakikisha wanainusuru hoteli hiyo ambayo iko mbioni kuuzwa.
Katika kikao hicho ambacho kiliongozwa na mh. Lowassa walikubaliana watafanya harambee kubwa ya kufunga mwaka ambayo itakuwa ya kihistoria lengo ni kuhakikisha fedha hizo zinapatikana kuhakikisha hoteli inarudi mikononi mwa KKKT jimbo la Arusha.
Wakazi wa Arusha wamepokea kwa shangwe kubwa na kumpongeza kwa nguvu zote mh Edward Lowassa,wakazi hao wa Arusha hatimaye wamefikia maamuzi ya kutenga siku kwaajili ya kumwombea mbunge wa Monduli ili Mungu aendelee kumpa moyo wa huruma.
Wakaz hao wanasema walishakata tamaa na hawakuwa tena na matumaini kama hoteli ingebaki tena mikononi mwa KKKT.
Wanasema kiasi cha fedha ambacho hotel hiyo ilikuwa ikidaiwa kutokna na mkpo walio chukuwa hakuna mtu mwingine ambaye angeweza kuinusuru hoteli zaidi ya Lowassa kwani amekuwa na ushawishi mkubwa sana wa kushawishi wafanyabishara wakubwa kuchangia michango mbali mbali ya kimaendeleo.
Mungi umesema neno.Juzi tu tulilipa riba peke yake milioni 600, bado awamu nyingine.
Hoteli ya kanisa hairuhusu wazinzi, walevi, wavuta sigara kulala pale, na hakuna lounge kwa ajili ya kupata vinywaji vikali ndiyo maana hoteli haifanyi vizuri.
USHAURI WANGU;
Hoteli ya Corridor Spring iuzwe, fedha zitakazopatikana zielekezwe kujenga shule au hospitali ya kanisa
si afadhali hao wanaojaribu wanapata hasara,muda mwingne wakirudia tena wanafaulu kwasabu washajuwa jinsi ya manage,kuliko nyie mmebakia kununuwa suruali na kuzikata na vibarakasheePoor management why mnajiingiza kwny biashara msizoweza kizisimamia na kuanza kutembeza bakuri la ombaomba. It's much better kufocus ktk ujenzi wa matawi mengine ya kanisa na kuvuna waumini wengi zaidi ili kueneza injiri mana hiyo ndo main theme ya kanisa kuliko kujiingiza kwny biashara kwa manufaa ya wachache na kuleta aibu na usumbufu kwa waumini.!!
si afadhali hao wanaojaribu wanapata hasara,muda mwingne wakirudia tena wanafaulu kwasabu washajuwa jinsi ya manage,kuliko nyie mmebakia kununuwa suruali na kuzikata na vibarakashee
Yule mkenya ni shemeji yake na karyongi na yeye ndio alimweka hapo ili waifisadi hiyo hotel. Kwahiyo anajua mahali alipokimbilia
Juzi tu tulilipa riba peke yake milioni 600, bado awamu nyingine.
Hoteli ya kanisa hairuhusu wazinzi, walevi, wavuta sigara kulala pale, na hakuna lounge kwa ajili ya kupata vinywaji vikali ndiyo maana hoteli haifanyi vizuri.
USHAURI WANGU;
Hoteli ya Corridor Spring iuzwe, fedha zitakazopatikana zielekezwe kujenga shule au hospitali ya kanisa
Rekebisha hapo kwenye red tafadhali.Wana bodi!!
Hatimaye lile jembe la kaskazini Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh. Edward Lowassa aingilia kati mgogoro wa hotel ya KKKT corridor spring isiuzwe.
.
Rekebisha hapo kwenye red tafadhali.
Wazili mkuu aliefukuzwa kwa kashfa ya kuuibia nji milion156 kwa siku, nae sasa amekua na huruma
Wewe Bw.Karyongi Bw.John Njoroge yupo wapi?View attachment 123900
Juzi tu tulilipa riba peke yake milioni 600, bado awamu nyingine.
Hoteli ya kanisa hairuhusu wazinzi, walevi, wavuta sigara kulala pale, na hakuna lounge kwa ajili ya kupata vinywaji vikali ndiyo maana hoteli haifanyi vizuri.
USHAURI WANGU;
Hoteli ya Corridor Spring iuzwe, fedha zitakazopatikana zielekezwe kujenga shule au hospitali ya kanisa
Pesa ya kujenga hoteli watoe waumini (na zilipatikana pesa za kutosha floor 6), njama ya kukopa aianzishe yeye na askofu Rafiki yake, wale wao pesa iliyokopwa leo hii mtu huyo huyo eti anashangiliwa kuwa kaiokoa hoteli isiuzwe!!! Kweli aliewaloga Watanzania kafa!
Mnamshangilia mwizi???!!!!!???