CRITON CAREEN
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 202
- 15
Piga UA garagaza, LOWASA ndiye raisi wetu 2015
Mkuu, kule tunashirikiana ila kwa hapa hatupo pamoja. Samahani lakini
Labda mita 10. Lowasa hana ubavu hata wa kukimbia kilomita moja. Hizo kumi zinatoka wapi?
Mkuu, hakika Lowasa anafanya mchezo wa kuigiza kabisa. Kumbe hili lilikuwa ni tukio lililopangwa na kugharimu kiasi kikubwa cha fedha! Yaani kupigwa tu picha zimemtoka milioni kumi? Hakika huyu mzee ufisadi unampeleka pabaya
Hongera sana mwandishi wa Mwananchi kwa kutufafanulia kuhusu picha ile. Mimi sikuelewa logic ya kuitoa! Mwakani CCM isifanye kosa, E.N.Lowassa HAFAI!
Na itakua vyema km cku moja utatuletea picha za huyo baba yenu aliyewatuma ujeruman alivyokua anamkatikia kiuno kitandani mwimbaji mmoja wa nyimbo za injili
Bdo tu na ww soon atakukatikia
Mkuu, kule tunashirikiana ila kwa hapa hatupo pamoja. Samahani lakini
Mkuu Bramo, asante kwa kunidhania ni mimi!, mimi niliacha rasmi kutumwa tangu 2002!.Hiyo role ya Abubakar Liongo nikadhan ni ya Pasco wetu huyu wa JF
Hata kama uliacha kutumwa, na kama unachofanya as far as Lowassa is concerned 'unajituma' mwenyewe, basi hauko sawa sawa upstairs!Mkuu Bramo, asante kwa kunidhania ni mimi!, mimi niliacha rasmi kutumwa tangu 2002!.
Thanks.
Pasco