Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,458
- 8,961
1.Mbona uko kimya kwenye huo udikteta unaofanyika Chadema ?
2.Tupe ushahidi lini ulimpinga Lowasa tangu ajiunge Chadema ?
3.Vipi Zito bado ni msaliti aliyetumwa na CCM kuua upinzani?
Hapo kwenye namba 2 hawezi kukupa jibu. Ataishia kukutukana tu. hahahaa
-Kaveli-