nimechoka tuu nahitaji kuona chama kingine madarakanHakukuwa na ulazima wa ku-quote thread nzima.
Mimi niwe na ngoyai mania sijui wadudu gani mania kura yangu kwa lowassa nimeichoka ccm full stop
Hivi Lowassa asipochaguliwa tuwa rais je mlio reset ubongo wenu kwa Lowassa mtaishije?
Hivi wabongo vipi, yaani wanataka tuamini umaskini wote umeletwa na lowasa..
Mungu tunusuru na hilo gonjwa baya la maniaHawatapata choo kwa mwaka mzima!
Mbwambo anajifanya mtu wa maadili kweli. Mwanasiasa yupi ana maadili? Tunachokitaka kwenye siasa zetu ni kuwadhibiti hawa wanasiasa wajue tunaweza kuwatoa wakileta mchezo. Kujua tu kwamba mbadala wao upo kunawafanya angalau waigilize maadili. Otherwise, tabaka lote la wanasiasa (akiwemo Padre Slaa) wote wanaongozwa na maslahi binafsi, kinachowatofautisha ni namna wanavyo-contain huo ubinafsi wao.
Mbwambo anajifanya mtu wa maadili kweli. Mwanasiasa yupi ana maadili? Tunachokitaka kwenye siasa zetu ni kuwadhibiti hawa wanasiasa wajue tunaweza kuwatoa wakileta mchezo. Kujua tu kwamba mbadala wao upo kunawafanya angalau waigilize maadili. Otherwise, tabaka lote la wanasiasa (akiwemo Padre Slaa) wote wanaongozwa na maslahi binafsi, kinachowatofautisha ni namna wanavyo-contain huo ubinafsi wao.