‘Lowassa-mania’ na ya mpiga filimbi wa Hamelin!

Hivi Lowassa asipochaguliwa tuwa rais je mlio reset ubongo wenu kwa Lowassa mtaishije?
 
Mbwambo anajifanya mtu wa maadili kweli. Mwanasiasa yupi ana maadili? Tunachokitaka kwenye siasa zetu ni kuwadhibiti hawa wanasiasa wajue tunaweza kuwatoa wakileta mchezo. Kujua tu kwamba mbadala wao upo kunawafanya angalau waigilize maadili. Otherwise, tabaka lote la wanasiasa (akiwemo Padre Slaa) wote wanaongozwa na maslahi binafsi, kinachowatofautisha ni namna wanavyo-contain huo ubinafsi wao.
 
Mleta mada hamjui mpiga filimbi wa hamellin. Ni kitabu kizuri sana na kwamba baada ya wale watu kukataa kumlipa mpiga filimbi wa Hamellin pesa yake kama ujira wa kuondoa panya kwenye nchi ile ya Hamellin aligeuza filimbi yake (Lowasa alihama chama) na kuanza kuipuliza na watoto wote wa ule mji ( yaani tungesema CCM ndio mji wa Hamelin) wakamfuata huyo jamaa hadi mlimani na walipofika hapo Mlima ulifunguka na kupotea na watoto wote. Mji ule ulibaki ukiwa (CCM).
Hio ndio hadithi ya mpiga filimbi wa Hamellin. Ni wachache san tuliosoma hiki kitabu

MANI BAK tpaul Chakaza zumbemkuu Lowasa ndio mpiga filimbi wa Hamellin leo.siome


isome hapa kwa kizungu
http://www.storynory.com/2007/07/02/the-pied-piper-of-hamelin/
 
nimecheka sana..eti wanamfuata tu kwa maelfu kama kikombe cha babu loliondo. ila hapo kwa mpiga filimbi wa hamelin ilikua mapanya. yalifuata mlio wa filimbi kwa maelfu kisha yakateketea na mji ukasalimika. l hope mpiga filimbi wa chadema anafuatwa na fisadi wote...
 
Mikutano ya kampeni ya Savimbi ilikuwa inajaa watu hivivi kama ya loser ama Lowasa lakini mwisho wa kipenga Dos Santos na MPLM yake wakachua dola kilaini. Jibu ni kwamba Washangaaji ni wengi kuliko serious wapiga kura. Tukutane kwenye debe ifikapo 25 October
 
Hivi wabongo vipi, yaani wanataka tuamini umaskini wote umeletwa na lowasa..
 
raia mwema limekuwa gazeti la hovyo tangu mmoja wa wahariri wake aende nje ya nchi na jk,wanatumika na hata malipo yao yanajulikana
 
Mbwambo anajifanya mtu wa maadili kweli. Mwanasiasa yupi ana maadili? Tunachokitaka kwenye siasa zetu ni kuwadhibiti hawa wanasiasa wajue tunaweza kuwatoa wakileta mchezo. Kujua tu kwamba mbadala wao upo kunawafanya angalau waigilize maadili. Otherwise, tabaka lote la wanasiasa (akiwemo Padre Slaa) wote wanaongozwa na maslahi binafsi, kinachowatofautisha ni namna wanavyo-contain huo ubinafsi wao.

hata bila mnada bei yake
 
Mbwambo anajifanya mtu wa maadili kweli. Mwanasiasa yupi ana maadili? Tunachokitaka kwenye siasa zetu ni kuwadhibiti hawa wanasiasa wajue tunaweza kuwatoa wakileta mchezo. Kujua tu kwamba mbadala wao upo kunawafanya angalau waigilize maadili. Otherwise, tabaka lote la wanasiasa (akiwemo Padre Slaa) wote wanaongozwa na maslahi binafsi, kinachowatofautisha ni namna wanavyo-contain huo ubinafsi wao.

hata bila mnada bei yake iko wazi,maadili gazetini katika maisha halisi hana lolote,kamualika shoo ambaye anajulikana wazi,aliwazidi ujanja mpaka wakaua kampuni
 
umemaliza tafakari sana ninani aliyewafanya watanzania wakawa watu waliokata tamaaa kama siyo hao unaowaona wana sera navision za kuendelea kuwa wafanya watanzania watumwa wao na kuzidi kuwafanya maskini kuwa maskini na matajiri kuwa matajiri, pili naomba nikukumbushe wewe msaka tonge, mwaka 1995 mazingira yalikuwa tofauti sana na 2015, ninani asiyejua kuwa ule ulikuwa usanii wa CCM kuaminisha wafadhili kwamba nchi hii ni ya kidemokrasia inayo fuata mfumo wa vya vingi,walichokifanya nikumtengeneza Mrema basi ikawa watanzania hawashiki wakaamini kweli Mrema atakuwa rais katika hali hii ya usanii ikamtisha Mwl.Nyerere ikabidi angie ulingoni kupigia debe na isingekuwa yeye hali ilikuwa tete wakayaona matokeao ya usanii wao wakahujumu uchaguzi wa wabunge Dar es Salaam na ukarudiwa tena na kumuacha Lwamai kuchukua jimbo la ubungo, vinginevyo Majimbo yote yaliku yamebebwa na NCCR. Ukilinganisha na sasa Lowassa alishakuwa na nia ya nafasi hiyo miaka kumi iliyopita, na ameingia upinzani siyo kwa bahati mbaya ni mpango wa Mungu akimtumia J.K, pia wakati umefika wa kuvisambaratisha vyama vilivyo leta ukombozi kwani vimegeuka na kuwa wakoloni mambo leo na kuacha ilemisingi yake ya kupigania wanyonge chenyewe ndo kimekuwa chama cha matajiri wazee wakupiga dili, kwangu mimi nasema niafadhali tumchague Lowassa na UKAWA yake hatakama tutapata shida ndani ya miaka mitano basi tutabadilisha kuliko kuwa na chama kisicho wajali wananchi,kilicholewa madaraka, chama kinachojiona kina haki ya ownership ya nchi, nazsema inatosha sisi wananchi ndiyo tunao wajiri kwa maana hiyo utumishi wa CCM tunaukomesha tarehe 25/08/2015 tunawastafisha kwa lazima wakafanye mengine huko waliko KANU.
 
CCM impediment hata kwa mawazo. Hivo kwanza ni kutokomeza CCM mengine tutanyosha as we go along.
 
Back
Top Bottom