Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho

Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho

usilete utani kamanda. hivi hujawahi ona watu wenye ushawishi hasa wa kununua watu kwa mapesa yao? ?? ni kweliiii? unadhani asingetumia ushawishi wa pesa leo hii ungekuwa ukimsikia? ?? wapiiiii! ! angeshajikatia zake tamaa sahiz angekuwa monduli anachunga ngombe

Kamanda kama wewe hilo ndio umejifunza kwa lowasa sawa,mimi nimeweka yangu na hilo huwezi kunibadilisha
 
Hakika wewe ni raisi wetu wa halali Mungu akupe uzima, nguvu na afya njema pia akuongoze katika safari yako.

safari ya mafisadi ilishakatuliwa mbali sasa sijui unazungymzia safari ipi. weengine wanasubiri kupelekwa mahakamani
 
Aende itv na redio one akashukuru hella zisaidie kununulia madawati
 
Pamoja na mambo mengi yanayozungumzwa dhidi yake na yasiyo na ushaidi

nadiriki kusema kwamba lowassa ni mfano wa kuigwa tanzania na duniani kote

1.ana hekima

2.ana busara

3.ana maono

4.ni mtu mtaratibu sana lakini mwenye mipango ya kuona mbali

5.baba mwenye familia inayojiheshimu sana,mfano mzuri ni kwenye kampeni,pamoja na matusi yote yale si yeye wala familia yake imewahi kujibu mapigo

6.anao uwezo na mwenye uthubutu

7.zaidi na zaidi ni mtulivu wa fikra

my take:naunga mkono kuzunguka mikoani kuwashukuru wananchi,kura miliono 6 si haba

watanzania wenzangu,especially wanajf:yapo mengi ya kujifunza toka kwa huyu mzee lowassa

Couldnt said it better than that, umesema kila kitu mkuu
 
mbona umepaniki kamanda? labda soma tena nilichokiandika kwa mara nyingine labda utanielewa.
quote_icon.png
By Abunuas

kwa nini hizo hela asisaidie wamasai wenzake kule monduli wanaoishi kwenye dhiki iliyokithiri ambao wamempa heshima ya kuwa kiongozi wao karibu robo karne?
by the way kama hatasikia huu ushauri huko kuzunguka kwake atatumia chopa tena au gari? au meli? treni? bodaboda, baiskeli, bajaji .....


Hiv mnaumwa na nin nyie vibaka wa ccm? Pesa zenu?nchi yenu hii mpaka mnune mtanzamia mwingine kutembelea watanzania wenzake? Kwa nin mnawashwa na makalio kiasi hiki? Tusi la serukamba nyie kiss you are ass hole
 
Jamani hivi lile katazo la polisi kufuta mikutano ya siasa kwamba hali ni tete imeshafutwa, au ilikuwa ni hila za yule aliyepelekwa zima moto, jina nimemsahau kidogo.
 
Hela ya lowasa inawauma lini? Ndio atazunguka nchi nzima na hao watoto yatima mnaosema awasaidie watasaidiwa na mashirika husika lowasa ni no nyingine kama agamba hii inawauma simameni juu ya sindano
 
Kwa hili nampongeza sana Mheshimiwa Lowasa kwa kuonesha anawajali waliompigia kura, hii ni moja ya kulipa fadhila.

Lowasa hongera sana
 
Mikutano ya lowassa ipigwe marufuku. Aende ITV na redio wani akazungumze live na hao anaotaka kuwashukuru
 
Pamoja na mambo mengi yanayozungumzwa dhidi yake na yasiyo na ushaidi

nadiriki kusema kwamba lowassa ni mfano wa kuigwa tanzania na duniani kote

1.ana hekima

2.ana busara

3.ana maono

4.ni mtu mtaratibu sana lakini mwenye mipango ya kuona mbali

5.baba mwenye familia inayojiheshimu sana,mfano mzuri ni kwenye kampeni,pamoja na matusi yote yale si yeye wala familia yake imewahi kujibu mapigo

6.anao uwezo na mwenye uthubutu

7.zaidi na zaidi ni mtulivu wa fikra

my take:naunga mkono kuzunguka mikoani kuwashukuru wananchi,kura miliono 6 si haba

watanzania wenzangu,especially wanajf:yapo mengi ya kujifunza toka kwa huyu mzee lowassa
Namba nne ni maono gani aliyonayo?
 
Hahah huyu mzee apumzike tuuu... habari ya mjini ni kupiga kazi hatuna muda wa kusikiliza mipasho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom