Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho

Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho

Hizo pesa anazotumia kwenye hiyo mizunguko kwanini asiende kuchimba mabwabwa kule monduli ili wafugaji wa monduli wapate sehemu ya kunywesha mifugo yao.
 
Waiiiii sio kipaumbele kwa sasa..atushukuru thru media hiyo budget aelekeze sehem ingine
 
Hiv mnaumwa na nin nyie vibaka wa ccm? Pesa zenu?nchi yenu hii mpaka mnune mtanzamia mwingine kutembelea watanzania wenzake? Kwa nin mnawashwa na makalio kiasi hiki? Tusi la serukamba nyie kiss you are ass hole
kwa nini hizo hela asisaidie wamasai wenzake kule monduli wanaoishi kwenye dhiki iliyokithiri ambao wamempa heshima ya kuwa kiongozi wao karibu robo karne?
by the way kama hatasikia huu ushauri huko kuzunguka kwake atatumia chopa tena au gari? au meli? treni? bodaboda, baiskeli, bajaji ......
 
Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa kesho ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura. Katika ziara hiyo ambayo itaanzia mkoani Tanga, Lowassa ataambatana na viongozi wa Chadema na Ukawa.
 
Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa kesho ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura. Katika ziara hiyo ambayo itaanzia mkoani Tanga, Lowassa ataambatana na viongozi wa Chadema na Ukawa.
mimi nina swali moja tu kwake, je ataweeeza...?
 
Tokea nimezaliwa sijawahi kuona mtu mwenye ushawishi kwenye jamii kama Lowasa ,ya Nyerere na Sokoine tulihadithiwa tu ,Hakika Lowasa ni mfano wa kuigwa na kila Mwanaume ,msimamo,nidhamu,ujasiri,kutokukata tamaa ,busara ni baadhi ya mambo tu nliyojifunza kwako
 
Hakika wewe ni raisi wetu wa halali Mungu akupe uzima, nguvu na afya njema pia akuongoze katika safari yako.
 
hizo pesa za kuzunguka nchi nzima naamuru zielekezwe kuchimba visima kule Monduli, wananchi wanachangia maji na Ng'ombe kwenye mito.

nakubaliana na wewe. hizo pesa zitakazotumika katika ziara hiyo zitumike kwa maendeleo jamii. waige mfano wa jpm ambae ameguswa na matatizo ya wananchi, kwa hiyo kila senti anaitumia kwa manufaa ya wananchi. huu si wakati wa siasa, ni wakati wa kufanya kazi - hapa kazi tu. namshauri atumie radio, tv, sms na pia aweke shukrani hizo kwenye website ya cdm kama ilivyokuwa kwa ilani ya cdm.
 
Lowassa ataishi mioyoni mwetu kwa miaka mingi ijayo.

ni kweli ataishi mioyoni mwetu na hasa kwa sababu ya tabia za wizi na ufisadi ambazo amezifanya. tunashukuru Mungu Mwakyembe karudi mjengoni tena kama wazir wa sheria, tena yeye ndiye mwenye bahari yote ya ufisadi wa lowasa kupitia richmond. hatutamsahau fisadi huyu jamani!
 
Hiv mnaumwa na nin nyie vibaka wa ccm? Pesa zenu?nchi yenu hii mpaka mnune mtanzamia mwingine kutembelea watanzania wenzake? Kwa nin mnawashwa na makalio kiasi hiki? Tusi la serukamba nyie kiss you are ass hole

Kama hujui kingereza sio lazima kukitumia...sasa ndio umeandika nini hapo!?
 
Tokea nimezaliwa sijawahi kuona mtu mwenye ushawishi kwenye jamii kama Lowasa ,ya Nyerere na Sokoine tulihadithiwa tu ,Hakika Lowasa ni mfano wa kuigwa na kila Mwanaume ,msimamo,nidhamu,ujasiri,kutokukata tamaa ,busara ni baadhi ya mambo tu nliyojifunza kwako
usilete utani kamanda. hivi hujawahi ona watu wenye ushawishi hasa wa kununua watu kwa mapesa yao? ?? ni kweliiii? unadhani asingetumia ushawishi wa pesa leo hii ungekuwa ukimsikia? ?? wapiiiii! ! angeshajikatia zake tamaa sahiz angekuwa monduli anachunga ngombe
 
Tokea nimezaliwa sijawahi kuona mtu mwenye ushawishi kwenye jamii kama Lowasa ,ya Nyerere na Sokoine tulihadithiwa tu ,Hakika Lowasa ni mfano wa kuigwa na kila Mwanaume ,msimamo,nidhamu,ujasiri,kutokukata tamaa ,busara ni baadhi ya mambo tu nliyojifunza kwako

Umesahau wizi na ufisadi.
 
Back
Top Bottom