Hijja Madava
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 3,302
- 1,936
Wakuu wanajamvi
Kama mtakumbuka kuwa rais mtarajiwa wa JMT, ndugu Edwad Ngoyai Lowassa alizuiliwa na serikali ya CCM kuhudhuria mazishi ya kada wa chama hicho, marehem Mzee Kisumo.
Lakini kwa kuonyesha upendo wa dhati kati ya Lowassa na mzee Kisumo, kesho mh. Lowassa atalizuru kaburi la mzee wetu na kuweka shada la maua pamoja na kuhutubia mkutano mkubwa utakaofanyika viwanja vya shule ya sekondari ya Usangi Day.
Kama upo Usangi/ Ugweno unakaribishwa.
Madava mpenda/mabadiliko.
Kama mtakumbuka kuwa rais mtarajiwa wa JMT, ndugu Edwad Ngoyai Lowassa alizuiliwa na serikali ya CCM kuhudhuria mazishi ya kada wa chama hicho, marehem Mzee Kisumo.
Lakini kwa kuonyesha upendo wa dhati kati ya Lowassa na mzee Kisumo, kesho mh. Lowassa atalizuru kaburi la mzee wetu na kuweka shada la maua pamoja na kuhutubia mkutano mkubwa utakaofanyika viwanja vya shule ya sekondari ya Usangi Day.
Kama upo Usangi/ Ugweno unakaribishwa.
Madava mpenda/mabadiliko.