Lowassa kuzulu Kaburi la Mzee Peter Kisumo kesho

Hijja Madava

JF-Expert Member
May 14, 2014
3,302
1,936
Wakuu wanajamvi

Kama mtakumbuka kuwa rais mtarajiwa wa JMT, ndugu Edwad Ngoyai Lowassa alizuiliwa na serikali ya CCM kuhudhuria mazishi ya kada wa chama hicho, marehem Mzee Kisumo.

Lakini kwa kuonyesha upendo wa dhati kati ya Lowassa na mzee Kisumo, kesho mh. Lowassa atalizuru kaburi la mzee wetu na kuweka shada la maua pamoja na kuhutubia mkutano mkubwa utakaofanyika viwanja vya shule ya sekondari ya Usangi Day.

Kama upo Usangi/ Ugweno unakaribishwa.

Madava mpenda/mabadiliko.
 
Hii Ratiba ya Lowasa mbona haieleweki? C alikuwa awe Musoma? ratiba imebadilika ghafla?
 
Back
Top Bottom