Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Uhakika unatokana na Wapinzani kutokuwa na Wagombea bora*Uhakika unatokana na Wapinzani kutokuwa na nguo!
Uhakika unatokana na Wapinzani kutokuwa na Wagombea bora*Uhakika unatokana na Wapinzani kutokuwa na nguo!
CCM walipoamua kumsimamisha Magufuli hawakuwa wajinga.Piga ua garagaza wasukuma wataendelea kumpigia msukuma mwenzao.Wasukuma wanamsemo 'huwezi mpa mbwa wa jirani mifupa huku wa kwako akilala njaa' hata kama wa kwako kakukosea vipi utampa tu.Lowasa aendelee kuisoma tu hakuna namna hamuwezi huyu ngosha.Wasukuma nawaogopa sana,hawana utani
Refer makubaliano kati ya Chadema na Lowassa, huyo ndio atakuwa mgombea wa milele.ina maana mgombea wa chadema 2020 kishapatikana?? si kuna vikao vya kupitisha mgombea?
Vipi wa ccm bado au humjui?Au mtamsimamisha mwingine!!??ina maana mgombea wa chadema 2020 kishapatikana?? si kuna vikao vya kupitisha mgombea?