mambo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 2,371
- 5,608
Upinzani kama wanataka kuchukua nchi hii they should forget about Lowassa completely .Watafute mtu wanayeona mzalendo anayekubalika wampe promo apambane na chama kubwa vinginevyo wataishia kuaindikiza na kuzungusha mikono.
CCM sio wajinga kumuweka Magufuli na yeye anapiga kazi haangalii nyani usoni.Mpaka miaka ifike mitano tutakuwa mbali sana kimaendeleo maana JPM hataki ujinga wowote.Hivyo wapinzani wajipange sana
CCM sio wajinga kumuweka Magufuli na yeye anapiga kazi haangalii nyani usoni.Mpaka miaka ifike mitano tutakuwa mbali sana kimaendeleo maana JPM hataki ujinga wowote.Hivyo wapinzani wajipange sana