saimon111
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,736
- 1,353
Inamaana kwa hesabu ya haraka arusha kwa siku tatu arusha patakua na ongezeko la bodaboda zaidi ya 3500 kutoka kila mkoa na 500 za arusha....?
Alaf kukodi uwanja hiyo gharama ya mil.20 kama ni hivyo waimba kwaya au mihadhara wasingeweza kukodi viwanja...!
Inamaana kuna wanavyuo zaidi ya 6000 wameacha masomo wameenda arusha, na vyuo vingine wapo kwenye mithiani saiv ? Kama vyuo vya singida na dodoma baadhi wapo kwenye mithiani inamaana gafla wanafunzi mia moja wataomba dharula ?
USE UR BRAIN WE BOYA NA POST ZAKO
Alaf kukodi uwanja hiyo gharama ya mil.20 kama ni hivyo waimba kwaya au mihadhara wasingeweza kukodi viwanja...!
Inamaana kuna wanavyuo zaidi ya 6000 wameacha masomo wameenda arusha, na vyuo vingine wapo kwenye mithiani saiv ? Kama vyuo vya singida na dodoma baadhi wapo kwenye mithiani inamaana gafla wanafunzi mia moja wataomba dharula ?
USE UR BRAIN WE BOYA NA POST ZAKO