maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Utajiri wake unatokana na ufisadi na madawa ya kulevya.
Alifanya ndani ya CCM akishirikiana na na bwana mkubwa,sasa katubu na yuko safi
Utajiri wake unatokana na ufisadi na madawa ya kulevya.
Utajiri wake unatokana na ufisadi na madawa ya kulevya.
wewe unauhakika ni mzima au unaongea tuu ?kapime afya yako .Lowasa ni mgonjwa na ni mzee tofauti na Uhuru Kenyatta ambaye ana afya njema na ni kijana
Lowasa ni mgonjwa na ni mzee tofauti na Uhuru Kenyatta ambaye ana afya njema na ni kijana
Lowasa ni mgonjwa na ni mzee tofauti na Uhuru Kenyatta ambaye ana afya njema na ni kijana
Hivi wewe kiumbe ulitokea mk...au ? ...la mama yakoUtajiri wake unatokana na ufisadi na madawa ya kulevya.
Hana numbers, msidanganyike na mikutano, kwenye mikutano hawazidi 10000 wakati wapiga kura wako 28 M
hahaa ndo mjia pekee ya kuepuka presha na kuanguka jukwaani,hawezi kurusha mawe wakati yuko kwenye nyumba ya vioo na huo sio utaratibu wa chadema tunaoufahamu.mmefungwa midomo na lowassa na ndo maana havai hata uniform yenu.huyo ni b-ccm na mtafuata utaratibu wake.:biggrin1::mod::mvutaji:
utawala wa kifamilia hatuutaki ......... aumwe asiumwe CCM lazima tuikatae 25th OCTLowasa ni mgonjwa na ni mzee tofauti na Uhuru Kenyatta ambaye ana afya njema na ni kijana
Lowasa ni mgonjwa na ni mzee tofauti na Uhuru Kenyatta ambaye ana afya njema na ni kijana
kuna tofauti kubwa kati ya uchaguzi wa kenya na Tanzania, uhuru hatasingepiga kampeni angelishinda kwa sababu ya kabila lake la kikuyu na kabila la vice wake kalenjini. Na sioni tija ya kila mara kulinganisha chaguzi za Kenya na Tz.
Kwani kwa mawazo yako ni tatizo kwa kuwa tajiri Tanzania kutokana na madawa ya kulevya na ufisadi?Utajiri wake unatokana na ufisadi na madawa ya kulevya.