OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
- Thread starter
-
- #141
Ni mpuuzi tu ndiye anayeweza kwenda kumsikiliza huyo mwizi akaacha kwenda jangwani kupata neno la ukombozi!!!! pamoja daima!!!!
This is a contemptuous, profane utterance; total blasphemy!
ndiye huyo huyoNi Pasco si umtaje tu
Umelaaniwa kumfananisha fisadi na mporaji huyu na Mwana wa mungu! Acheni mungu autwe mungu na mwizi aitwe mwizi.
wanamuonea lowassa kwasababu ni wa kaskazini
mimi ninampenda tu coz ajibizani majukwaani, wala hamtukani mtu, huyu mtu sijawahi msikia hata akitamka Mboye, Dr. Silaa wala akitamka neno CHADEMA, MUCH RESPECT. ANA SIASA NZURI SANA ZA KUTOCHAFUA WENZAKE, UMAARUFU WAKE NI VITENDO
ASUME ASINGEKUWA NA KASHFA YA RICHMOND, NANI ANGEMKAMATA HAPA TZ
wadau!!
Ni waz sasa lowassa hakamitki,katika kile kinachoonekana kwamba mh lowassa ni moto wa kuotea mbali,juma pili hii atafnya harambee ya aina yake ili kuwawezesha waendesha boda kila mmoja kumiliki boda boda,ni jana tu mahasimu wa lowassa wamekuwa wakimshambulia,ila lowassa ameamuwa kupiga kimya anafnya kwa vitendo,
Makonda juzi alitumika na membe na sitta kuja kumshambulia mh lowassa,lakin kutokana na busara za lowassa hakutaka kujibizna naye kwasabu cyo saiz yake.namshauri makonda amesha washa moto kwasabu hao wenyew walio mtuma wanaujuwa moto wa lowassa na ndio mana wao wamemuweka front makonda wasikilizie kinacho endelea,
Lowassa mwaka huu atawaonyesha subir moto zaid unakuja
NDUGU yangu unajidanganya LOWASSA fisadi wa kutupa hawezi kuwa Rais kupitia CCM labda Chadema wamechukue kama wanataka mafisadi ndio waongoze nchi.Fisadi kushika bendera ya CCM mwiko.Hizo pesa alizoiba akiwa Waziri Mkuu azipeleke chama kingine akapate urais huko siyo CCM. Kwa ufisadi wa Lowassa wana CCM tunapata mashaka kwamba tukimpa urais anaweza akauza hata ikulu pesa apeleke kwa wamasai wake.
Ni mpuuzi tu ndiye anayeweza kwenda kumsikiliza huyo mwizi akaacha kwenda jangwani kupata neno la ukombozi!!!! pamoja daima!!!!
mimi ninampenda tu coz ajibizani majukwaani, wala hamtukani mtu, huyu mtu sijawahi msikia hata akitamka Mboye, Dr. Silaa wala akitamka neno CHADEMA, MUCH RESPECT. ANA SIASA NZURI SANA ZA KUTOCHAFUA WENZAKE, UMAARUFU WAKE NI VITENDO
ASUME ASINGEKUWA NA KASHFA YA RICHMOND, NANI ANGEMKAMATA HAPA TZ