Lowassa kustaafu siasa

Lowassa kustaafu siasa

Status
Not open for further replies.

mafundisho

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
388
Reaction score
136
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia CHADEMA Mzee Lowassa kama ataendelea kubakia CHADEMA au Laa mara baada ya uchaguzi, watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.

Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.
 
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia chadema Mzee Lowasa kama ataendelea kubakia Chadema au Laa mara baada ya uchaguzi,watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.

Huyo mzee atashitakiwa kwa wizi wa feza za umma
 
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia chadema Mzee Lowasa kama ataendelea kubakia Chadema au Laa mara baada ya uchaguzi,watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.

Magufuli alisema atadeal nae huyo.
 
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia chadema Mzee Lowasa kama ataendelea kubakia Chadema au Laa mara baada ya uchaguzi,watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.

Hivi kwa akili yako unadhani Lowasa anaweza kuwa na chochote kichwani mwake kuendesha siasa ukiacha masuala ya ufisadi ambayo ndiyo Taluma yake ya kusomea?
 
Hivi kwa akili yako unadhani Lowasa anaweza kuwa na chochote kichwani mwake kuendesha siasa ukiacha masuala ya ufisadi ambayo ndiyo Taluma yake ya kusomea?

Ni kweli kamanda uwezo wa kumbukumbu hana, inabidi ashitakiwe tu,hamna jinsi tena maana si rahis mzee Mtei akamkabidhi chama.
 
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia chadema Mzee Lowasa kama ataendelea kubakia Chadema au Laa mara baada ya uchaguzi,watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.

Kumbe ccm bado wana hitaji kupokea makapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom