UKAWA wanafukuza upepo na kujitoa ufahamu
Nakumbuka zilipokua zinakaribia siku za uchaguzi ndani ya CCM wapo waliojipiza kama nyie wa leo juu ya Lowassa kwamba hakatwi mtu na alipokatwa walibaki vinywa wazi na vilio tele kwa sababu mirija ya ulaji ilikua imekatwa.
Na sasa mnajiapiza tena kwa kujitoa ufahamu kwenu eti hata iweje mtampa kura Lowassa hata awe mgonjwa vipi ahahahaa mpeni ila mjue atapigwa Chini tena kwa kura za wananchi safari hii baada ya 25 25th October. Mtulie kama mnanyolewa vile maana najua hamchelewi kutuletea fujo maana kwa maandamano tu hamjambo. ..
HAPA KAZI TU. .M4C. .MAGUFULI FOR CHANGE
Nakumbuka zilipokua zinakaribia siku za uchaguzi ndani ya CCM wapo waliojipiza kama nyie wa leo juu ya Lowassa kwamba hakatwi mtu na alipokatwa walibaki vinywa wazi na vilio tele kwa sababu mirija ya ulaji ilikua imekatwa.
Na sasa mnajiapiza tena kwa kujitoa ufahamu kwenu eti hata iweje mtampa kura Lowassa hata awe mgonjwa vipi ahahahaa mpeni ila mjue atapigwa Chini tena kwa kura za wananchi safari hii baada ya 25 25th October. Mtulie kama mnanyolewa vile maana najua hamchelewi kutuletea fujo maana kwa maandamano tu hamjambo. ..
HAPA KAZI TU. .M4C. .MAGUFULI FOR CHANGE