Lowassa kupigwa chini tena

Lowassa kupigwa chini tena

WASHAANZA MAZOEZI; WATATUUA KAMA SERIKALI ISIPOWAZIBITHI
OTH_5539.jpg

Mrudisheni kwanza shule huyo kilaza.
 
UKAWA wanafukuza upepo na kujitoa ufahamu

Nakumbuka zilipokua zinakaribia siku za uchaguzi ndani ya CCM wapo waliojipiza kama nyie wa leo juu ya Lowassa kwamba hakatwi mtu na alipokatwa walibaki vinywa wazi na vilio tele kwa sababu mirija ya ulaji ilikua imekatwa.

Na sasa mnajiapiza tena kwa kujitoa ufahamu kwenu eti hata iweje mtampa kura Lowassa hata awe mgonjwa vipi ahahahaa mpeni ila mjue atapigwa Chini tena kwa kura za wananchi safari hii baada ya 25 25th October. Mtulie kama mnanyolewa vile maana najua hamchelewi kutuletea fujo maana kwa maandamano tu hamjambo. ..

HAPA KAZI TU. .M4C. .MAGUFULI FOR CHANGE
Mkuu mwaka huu kama tume itafanya kama ilivyosema na simu zipo matokeo tutakuwa nayo ya rais kwa kila kituo, kata, jimbo Wilaya na mkoa mapeema kabisa , na tutakuwa tunajua nani anaongoza mkoa fulani na kwa kura ngapi. Kama tukijiridhisha kuwa CCM imeshinda kihalali mkuu hakuna fujo yoyote itakayotokea. Fujo itatokea kama matokeo yaliyokusanywa vituoni yanaonyesha mshindi fulani lakini matokeo yanatangaza mshindi tofauti. Sisi wote ni Watanzania na tunaamini kuna maisha baada ya uchaguzi, chondechonde CCM kubalini matokeo.
 
Nikikumbuka mikwara ya kule Dodoma kwenye vikao vya uteuaji duh! team Lowassa kwa mikwara hawajambo.!
 
Mmezoea kutengenezewa hadi PhD. Kaulizeni nani kamsaidia kupata PhD pale Mlimani.
 
Yaani makomeo hajapewa inch amesha anza ukigeu geu, anawambia vijana wasikimbilie mabadiliko, mara makomeo for change(tena ya kuiba na PHD yake juu nahisi hata darasani alikuwa mtaalamu wa kudesa)....
 
HUYU NDIO MAGUFULI:
"Uwajibikaji ndio suluhisho la wazembe,nitajenga utamaduni mpya wa uwajibikaji,kutakuwa hakuna kusamehana,kubebana wala kujuana.Nitaimarisha mfumo mzima wa utumishi wa umma ili kuiwezesha serikali kuwatumikia wananchi lakini pia kurahisisha utoaji adhabu kwa watakaozembea badala ya kulindana na kuunda tume na kamati zisizo na tija"
 
WASHAANZA MAZOEZI; WATATUUA KAMA SERIKALI ISIPOWAZIBITHI
OTH_5539.jpg
Kama hujui tamaduni za watu kaaa kimya, kwa akili yako hapo unaona watu wako ki shari!! wakati ndio kwanza wanajiriwaza kwa ngoma baada ya kutiwa umasikini na ccm??eti kilo moja ya pamba tsh. 600,wakati muwa tu uliopandwa nyuma ya bafu kipande tu 1000!!!eti mna nia nzuri na wananchi!!!!
 
CCK ni mke wa UKAWA, ! Maana wanaweke ndio wanashabikia ccm, na wanaume wanashabikia UKAWA. HIvyo 25th October 2015, lazima ndao ifungwe....

CCM mjiandae kuchukua bakora za kutosha......full pingili
 
Reuters

Ahsante kwa kuipa Promo UKAWA kwani hata mtoto wa Chekechea anajua M4C ni Brand Name ya CDM.
 
Last edited by a moderator:
UKAWA wanafukuza upepo na kujitoa ufahamu

Nakumbuka zilipokua zinakaribia siku za uchaguzi ndani ya CCM wapo waliojipiza kama nyie wa leo juu ya Lowassa kwamba hakatwi mtu na alipokatwa walibaki vinywa wazi na vilio tele kwa sababu mirija ya ulaji ilikua imekatwa.

Na sasa mnajiapiza tena kwa kujitoa ufahamu kwenu eti hata iweje mtampa kura Lowassa hata awe mgonjwa vipi ahahahaa mpeni ila mjue atapigwa Chini tena kwa kura za wananchi safari hii baada ya 25 25th October. Mtulie kama mnanyolewa vile maana najua hamchelewi kutuletea fujo maana kwa maandamano tu hamjambo. ..

HAPA KAZI TU. .M4C. .MAGUFULI FOR CHANGE

Nimeamini CCM imepoteza uelekeo,MAGUFULI CHALIIIIII KIFO CHA MENDE
 
Huu ndo ukweli. Watu wanaomiminika kwenye kampeni za Lowasa hawafiki hata laki 3 kila mkoa na hao wote si wapiga kura wake. CCM wana wapiga kura hadi vijijini ambaklo upinzani hata haujulikani kabisa. Naongea na mtu wa Mwanga huko Kilimanjaro anasema huko ni CCM tu. Naongea na mtu wa Mpwapwa Dodoma nako ni CCM tu na Lowasa hakufika huko kufanya kampeni. Kwahiyo CCM wamewafikia wapiga kura karibu wote nchi nzima. Ushindi ni mweupee kwa Magufuli.

bado mko gizani.
 
Back
Top Bottom