Mmezoea kutengenezewa hadi PhD. Kaulizeni nani kamsaidia kupata PhD pale Mlimani.
Leo magufuli kasema endapo akichaguliwa '' Samia Atakuwa mwanamke wa kwanza vice president duniani ''
magufuli kasahau au hajui au kateleza tena maana vice president wa Uganda 1994-2003 alikuwa mama Speciouza wandira Kazibwe...juzi tena katudanganya eti saddam alikwa rais wa libya, no kuwait....hahahahaha ndo maana yameamua kusema M4C yaani magufuli4civics...nakweli akasome civics urais sio wa kukaririsha takwimu....