William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
mkuu FMES heshima mbele.
Yote unayoongea inawezekana ni kweli kabisa ila hili la salute ndo kuna kosa kidogo.Kama uliona Mwanajeshi anampigia salute mbunge inawezekana mbunge huyo alikwahi kuwa mwanajeshi na kma uliona kwenye harusi mwanajeshi anamsalute sijui nani inawezekana kati ya waliokuwa hapo harusini alikuwepo mwanajeshi wa cheo karibu na wewe hukuweza kumwona.
Mwanajeshi kupiga salute kwenye bunge siyo kuwa anampigia mbunge bali huwa ni ku-salute proceedings ile ambayo ipo na picha ya rais mle ndani.Siyo Bungeni tuu,hata mahakamani hata mahakama ya mwanzo mwanajeshi anapiga salute kabla ya kukaa mara tu aingiapo.Hii haimaanishi kuwa mahakimu wote hadi wa mahakama ya mwanzo hupigiwa salute na wanajeshi bali wanajeshi huwa wanasalute proceedings ile iliyopo huku pia kukiwa na picha ya rais.
Mwisho kabisa tukumbuke kuwa wanajeshi hupigia salute maiti zote mara zipitapo no matter what.Hata kama maiti hiyo ilikuwa ya jambazi.Kwa hiyo mimi Lowassa kupigiwa salute means nothing.
habari ndo hiyo
Nimekusikia mkuu na sina la kuongeza isipokuwa in this process tusije tukasahau kuwa Lowassa bado ni mbunge wa kuchaguliwa,
Hayo yako mengine sina uhaklika kabisaaa na kinachosemwa lakini nitatoa pass![/QUOTE
Mkuu,
Kama suala ni salute,ubunge wa kuchaguliwa kwa sasa siyo issue.Hao hawapigiwi salute,angekuwa mbunge wa kuteuliwa na Rais ungeweza`kuwepo huo mkanganyiko wa salute kwani post zote za kuteuliwa na rais wanajeshi utakiwa kusalute huku protokali ikizingatiwa/vyeo/u-senior.
EL ni Waziri Mkuu mstaafu na Mhe, Mbunge hivyo saluti ni halali yake. Hata kama ingekuwa si halali bado anaheshimika,
Anao ulinzi na mafao yake yote stahili. Kama Seif Shariff amerejeshewa mafao, gari na ulinzi itakuwa EL!?.
Hilo la safari must be unfortunate incident. Kwa mujibu wa mafao yao, analipiwa safari 4 za nje ya nchi zaidi ya hapo anajigharimia.
Kutopokelewa was just a miscomunication issue.
In 1996 nilibahatika kusafiri ndege moja na Mhe. Sumaye akiwa PM. Kufika airport alishuka hakukuta mapokezi ya aina yoyote hivyo yeye na timu yake tulichanganyika wote kupanda lile basi la abiria la airport ambalo halina viti,
alisimama na alishika mchuma! Huku walinzi wakihaha kujaribu kumkingia asisukumwe sukumwe.
1998 nikiwa Upsala Universty ya Sweeden, Mhe. Ben Mkapa
Akiwa rais, aliwasili kwa bus kutembelea chuo. Wakati akiondoka alipanda tena basi na akina sisi kujikuta tuko basi moja na rais wetu(hakushika mchuma) kitu ambacho kwa TZ ni aghlab sana.
Wanajeshi wanapoingia ndani ya bunge ni lazima wapige saluti anyways na kutoa kofia, ambayo wanaweza kuirudisha baadaye,
mbunge ni kiongozi wa taifa anayestahili saluti ya kijeshi, vipi wakuu hatukupitia JKT nini?
Kwa hiyo wabunge si miongoni mwa wanaopigiwa saluti, isipokuwa tu pale huyo mbunge ni afisa mstaafu wa jeshi.
Kwa hiyo mkuu wanapigia maiti lakini sio wabunge? that is wasup bro!
Kwa hiyo mkuu wanapigia maiti lakini sio wabunge? that is wasup bro!
Wanajeshi wanapoingia ndani ya bunge ni lazima wapige saluti anyways na kutoa kofia, ambayo wanaweza kuirudisha baadaye,
mbunge ni kiongozi wa taifa anayestahili saluti ya kijeshi, vipi wakuu hatukupitia JKT nini?