Lowassa kunyang'anywa shamba

Naona chokochoko zimeanza.....
 
Ngoja tusome taarifa hizi kwa undani, tupate sababu za kunyang'anywa kwake.
Mbunge wa monduli aliomba lirudishwe kwa wananchi,so mheshimwa rukuvi akamwambia watalifanyia kazi,ila alisema hili Ipo kazi kwa sababu linamilikiwa na lowasa,chanzo bunge recorded
 
Sawa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…