Lowassa kioo tuelekeacho

Lowassa kioo tuelekeacho

Kweli insanity ni kitu cha kurithi

Wewe akili tu hata kutambua huyu ni kuku na huyu ni mende huna

Negativity zako kuhusu LOWASSA sio watanzania wote wanazo na wala hazimnyimi LOWASSA kuwaongoza watanzania wanaomhitaji kupiga kiasi.

E.L THE COMING PRESIDENT

Huyu jambazi sugu amekupa sh ngap?Ametuibia baada kuwa jera ananyea ndoo leo yuko mtahani anatamba na uraisi huyu fisadi Lowasa.
 
Huyu jambazi sugu amekupa sh ngap?Ametuibia baada kuwa jera ananyea ndoo leo yuko mtahani anatamba na uraisi huyu fisadi Lowasa.

Kama ulimuuzia masabuli yako akakupa pesa usifikirie watu wote wako na tabia ya kujiuza kama yako, lamba ndimu naona mimba inakusumbua.
 
Marafiki si tatizo watu wameshaujua ukweli mmeendelea kumpakazia kuhusu richmond baada ya watanzania wengi kujua ukweli sasa hivi mmeanza kuaema kuhusu watu wanaomfuata kuwa ni wapigaji hivi ni safari ya Matumaini yeyote anaweza kujiunga hata wewe unaweza hesabiwa
 
acha mbwembwe wewe unayajua maamuzi magumu wewe,ukiachilia mbali ufisadi tulio nao moja ya vitu vinasabibisha nchi za kiafrika kubaki kwenye dimbwi la umasikini ni utofauti wa masilahi ya kibiashara,rasilimali na tofauti za sera na mikakati baina ya nchi zilizoendelea kama USA na umoja wa ulaya kupitia international laws Kwenye mikataba,IMF NA WB.kama yeye anaweza analijua hili fika alipo kuwa waziri mkuu alisaidiaje kutatua! Na hapa ndio chanzo na muendelezo wa umasikini wetu
 
acha mbwembwe wewe unayajua maamuzi magumu wewe,ukiachilia mbali ufisadi tulio nao moja ya vitu vinasabibisha nchi za kiafrika kubaki kwenye dimbwi la umasikini ni utofauti wa masilahi ya kibiashara,rasilimali na tofauti za sera na mikakati baina ya nchi zilizoendelea kama USA na umoja wa ulaya kupitia international laws Kwenye mikataba,IMF NA WB.kama yeye anaweza analijua hili fika alipo kuwa waziri mkuu alisaidiaje kutatua! Na hapa ndio chanzo na muendelezo wa umasikini wetu

Bora hata wewe, ila pia kitu kama huelewi ungeuliza, SAPs hakusaini Lowassa alisaini Rais Mwinyi 1985, unawezaje kuwa na ubavu wa kuwakoromea wakati bajeti yenu yote inategemea mikopo na misaada yao?

Ni mtu mwenye maamuzi magumu tu atayeweza kutuepusha na hilo, ni lazima tujijengee uwezo kwanza utakaotusaidia kutokurely on their aids and loans na hapo ndipo tutakapokuwa na uwezo wa kutaka fairness kwenye mikataba na hili kama ulikuwa Arusha ndilo Lowassa alilosema ataanza nalo.
 
Bora hata wewe, ila pia kitu kama huelewi ungeuliza, SAPs hakusaini Lowassa alisaini Rais Mwinyi 1985, unawezaje kuwa na ubavu wa kuwakoromea wakati bajeti yenu yote inategemea mikopo na misaada yao?

Ni mtu mwenye maamuzi magumu tu atayeweza kutuepusha na hilo, ni lazima tujijengee uwezo kwanza utakaotusaidia kutokurely on their aids and loans na hapo ndipo tutakapokuwa na uwezo wa kutaka fairness kwenye mikataba na hili kama ulikuwa Arusha ndilo Lowassa alilosema ataanza nalo.

nini maana ya maamuzi magumu? atafanya hayo maamuzi magumu kuhusu nini?
 
Back
Top Bottom