Lowassa kioo tuelekeacho

Lowassa kioo tuelekeacho

Lowassa ni fisadi asiyestahili kuliongoza Taifa letu, huyu mtu anayetaka kuhonga mabilioni ya pesa za kifisadi ili aingie Ikulu ni wa kuogopa kama ukoma.

Bak

Nafikiri ukitulia na ukaacha jazba utagundua kwamba unamwonea Lowassa bure. Je naomba nikulize swali.

1. Bajeti ya mgombea wa rais Tanzania inafaa iwe kiasi gani kwa ufahamu wako?
 
Acha uzezeta wewe tuliza akili badala ya kupayuka kama mwendawazimu. Hukuona wala kusikia mabilioni aliyokuwa anagawa nyumba za ibada? Alipoulizwa pesa zile katoa wapi akadai ni za marafiki zake alipotakiwa atoe list ya hao rafiki zake waliomchangia pesa na kiasi alichochanga kila mmoja akashindwa kufanya hivyo. Hakupigwa stop na MACCM huyu kuhusu kugawa rushwa nyumba za ibada!? Tafakari kwa kina.

Nakuheshimu sana na imebidi nikustahi, usidhani wengine hatuwezi kutumia hiyo lugha isiyokuwa na staha, huku makanisani alikuwa anajipeleka? hivi kweli ndo umeamua kutukana makanisa kwamba walikuwa wanamwalika Lowassa kuwahonga? ninaelewa unaifahamu Bilioni mkuu unaweza tuwekea hapa huo ushahidi walau wa kanisa moja tu lililopewa angalau bilioni moja tu na Mhe Lowassa?

Na kama hauna ushahidi wa hizo bilioni alizohonga makanisani kwa nini tusiamini shida ilikuwa ni uwaziri mkuu na sasa shida ni uRais, jiandaeni kisaikolojia maana this time tutapambana.
 
Lowassa siyo kioo bali ni giza totolo. ukitaka kujua Lowassa ni nani angalia walioko nyuma yake. Lowassa akiwa ikulu ni sawa kama umeweka fisi, sasa ukifuga fisi fisi huyo atatembelewa na nani kama siyo mafisi menzake, Lowassa hana maamuzi magumu bali ana maamuzi ya kukurupuka.

You're very wrong sir. Hao walioko nyuma yake wanamakosa gani?
 
Kumchafua Edward hamtoweza, wananchi washasema Yes, nyie ashki majununi hamna mtakaloweza Fanya ...

Lowassa anabebwa ma historia yke ya utendaji na maamuzi na si kingine ...

In ENL we trust
 
Lowassa is the strongest candidate and the man to be beat in the race both within CCM and outside. Wengi humu nimeona wanaimba tuu ufisadi but nobody has produced even a tiny piece of evidence instead their argument is based on rumours.
Watz tubadilike tuache kukariri mambo bila kuyafanyia tafiti za kutosha.

NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.
 
Tumaini la watanzania wengi n lowassa,hakuna zaid yake ata tukiangalia mapokez yake mikoa mbalimbal watu wanamuamin sana aiseee

Mapokezi ya kutengeneza,huyu ni mwana sanaaa mbobezi.El kuongea tu ni ;sijawahi kuona aisheeee;Hili jambazi nomaaa kweli
 
Bajeti inahusiana na lipi katika niliyoyaandika!? Bajeti ni maamuzi ya ndani ya chama ili kuhakikisha pesa chafu hazitumiki kununua Urais. Kwani kama CCM ikiweka kiasi cha milioni 50 kwa kila mgombea au hata chini ya hapo ili kuleta fairness kwa wagombea na hivyo kupiga marafuku pesa chafu za mafisadi kuna tatizo lipi?

Bak

Nafikiri ukitulia na ukaacha jazba utagundua kwamba unamwonea Lowassa bure. Je naomba nikulize swali.

1. Bajeti ya mgombea wa rais Tanzania inafaa iwe kiasi gani kwa ufahamu wako?
 
Hivi kama lowasa aliiba kwa nini akupelekwa mahakamani,yeye yupo juu ya sheria?Lowasa is our coming president,wananchi tunamkubali,viivaaa Lowasa viiivaaa

Mbona Chenge hakupelekwa mahakani?Basi Chenge sio mwizi sio!Lowasa ni jambazi sugu na ni mgonjwa mahututi
 
Inashtua sana kijana kama wewe kutoa maneno kama hayo, natumaini wote wanaongia JF wameenda shule. Uwezi kumshambulia mtu bila proof. Kubwabwaja maneno waachie waimba taarab, weka facts. Hii ndio safari ya matumaini.

Proof omba mkataba wa richmond au Muombe Mzee Sitta.Lowasa ni kibaka by Makongoro
 
Lowasa ametumia pesa chafu kununulia makanisa na misikiti.Huyu ni wa kuogopwa kama ukoma
 
nashangaa sana kuona wa2 wanasimamia upotoshaj ss cjui hawataki maendeleo yetu au ndo viroba vinawasumbua. EL 4TZ 2015
 
BAK

Nimekuuliza hivyo kwani umesema anataka kutumia mabilioni kuupata Urais na jinsi ulivyojibu umeonyesha huna upeo wa expenditure ya presidential campaign.
Nikupe mfano tuu Raila Odinga in 2007 alitumia $65 million in his campaign na $85 in 2013 campaign. Kwa taarifa yako Raila ni mwanasiasa mjamaa na mchumi na baili sana.

Ninachojaribu kukwambia hapa ni kwamba watu wengi wanatishika wakisikia billions of shillings ni kwasababu wengi hamna uelewa wa gharama halisi za presidential campaigns hence ni rahisi sana kumuona mtangaza nia kwamba anatumia hela kununua watu.

Just try to think how much would it cost a candidate to carry out a proper presidential campaign and you'll find out Lowassa is far behind the bar.

LOWASSA FOR PRESIDENT. NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.
 
Ndio maana mwafrika anadharauliwa na ataendelea kudharauliwa kwani kichwani zezeta. Kweli unadhubutu kuweka title 'fulani kioo tuelekeacho'.Hivi unaweka matumaini yako kwa mtu, pia unadhani yeye atafanya tofauti na ilani ya uchaguzi. Wenzetu nchi za ulimwengu wa kwanza hana muda wa kujadili ujinga huu yuko bize.kutafuta, yeye anachotaka watafanya Referendum tuwekeeni haya kwenye Katiba Makubaliano yako wewe na mtawala ni katiba.wewe ulitoa mawazo yako wakayaondoa kisha unataka walewale waliyoyaondoa mawazo yako mnyonge leo unamwita kioo.kweli nimeamini baadhi ya waafrika kichwani hadi Yesu aje.
 
BAK

Nimekuuliza hivyo kwani umesema anataka kutumia mabilioni kuupata Urais na jinsi ulivyojibu umeonyesha huna upeo wa expenditure ya presidential campaign.
Nikupe mfano tuu Raila Odinga in 2007 alitumia $65 million in his campaign na $85 in 2013 campaign. Kwa taarifa yako Raila ni mwanasiasa mjamaa na mchumi na baili sana.

Ninachojaribu kukwambia hapa ni kwamba watu wengi wanatishika wakisikia billions of shillings ni kwasababu wengi hamna uelewa wa gharama halisi za presidential campaigns hence ni rahisi sana kumuona mtangaza nia kwamba anatumia hela kununua watu.

Just try to think how much would it cost a candidate to carry out a proper presidential campaign and you'll find out Lowassa is far behind the bar.

LOWASSA FOR PRESIDENT. NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.

huyu jambazi sugu amtawale nani?
 
Proof omba mkataba wa richmond au Muombe Mzee Sitta.Lowasa ni kibaka by Makongoro

Unazidi kudhihirisha jinsi gani uko empty kichwani, kama mkataba wa Richmond ni shida kwa nini baada ya Lowassa kujiuzuru serikali bado iliendeleza mchakato wa kuukamilisha na hatimaye kulipa, kumbuka mpaka wakato Lowassa anajiuzuru hakukuwa na pesa hata senti moja ya serikali iliyokuwa ishatoka.

Kama Richmond lilikuwa kampuni hewa kwa nini lilishinda kesi mahakani?

Kama Richmond halikuwa likifaa kwa nini mliinunua Dowans ambayo ndo ileile Richmond na tena mbele ya Obama na mama Clinton kuwaoneshea jinsi gani ni jambo jema?!...za kuambiwa changanya na za kwako, watanzania tumeshalielewa hili sakata na sasa tumeelewa kweli tatizo lilikuwa ni uwaziri mkuu.
 
Mbona Chenge hakupelekwa mahakani?Basi Chenge sio mwizi sio!Lowasa ni jambazi sugu na ni mgonjwa mahututi

Ulimpa akupumlie kisogoni akashindwa kuperform ndo ukagundua kuwa ni mgonjwa mahututi?
 
Back
Top Bottom