HeartBreak
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 346
- 27
IMANI WALIKUWA NAYO WATANZANIA KWA LOWASSA.....hakuna wa kutudanganya.....Lowassa ndio rais, bado kuapishwa.........ccm stop talking about lowassa......
Tumeshajua ukweli kuhusu richmond kikwete ndio atatuambia amepeleka wapi hizo pesa.Kwikwikwikwikwikwikwikiiiiiiii! Akina Mwakyembe watamuua mzee wa watu. Nasikia leo alidondoka nyumbani kwake baada ya kusikia kuwa akina Mwakyembe wamemuandalia nondo za kummaliza. Vimemo alivyokuwa anaandika kuwekwa hadharani
Una laana wewe, na wewe hicho ulichoandika hapo ndio pekee kilichopo kwenye kaubongo kako? Khaaa!maskini!!! we unayoyajua ni hayo tuuu, hakuna kingine ukijuacho
Una laana wewe, na wewe hicho ulichoandika hapo ndio pekee kilichopo kwenye kaubongo kako? Khaaa!
Subirini mbivu na mbichi. Nondo zote kuwekwa hadharani. Sijui uyo Lowasa ataponea wapi
Kwa hiyo unataka Ikulu ianze kujibizana na mtu aliyekosa hoja? Ana vielelezo gani kuthibitisha hayo aliyosema? Miaka nane ameitumia kutunga jinsi ya kujinasua na Richmond lakini kashindwa