Hizo njie za kizamani sana. Alitumia Odinga hakufanikiwa. Alitumia Kiiza Besigye hakufanikiwa. Alitumia Morgan Tsvangirai hakufanikiwaalikua katika majukumu mbalimbali ya kitaifa....na hii ya leo ni majukumu yake pia.
Alikua anapata update za hali ya wananchi kama unavyojua matatizo ya mwaka jana sio kama ya leo tar24/8/2015... Hivyo ni muhimu aende kujua matatizo yaliyo ongezeka ili oktoba mimi na wewe tukisha mpitisha aweze kuyashughulikia kwa mbinu madhubuti na sahihi sio kama porojo za ccm
lowasa anadhani kuwa watanzania wanadanganyika kirahisi
Nyie wapumbavu na Malofa mtaendelea kuwa vipofu. Ndo maana mnaendelea kudanganywa na akina MboweCCM inadhani kuwa Watanzani tutaendelea kuwa vipofu daima.
Duh! Hadi unatia hurumahata ndege wa angani Anasema wamefarijika sana kumuona raid watu mpendwa,Mimi na nyumba yangu kura zote kwa lowasa
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
Watu wa Gongolamboto tumefarijika Sana kuona Rais mtarajiwa akipita mtaani kwetu kwenye kila aina ya uchafu akitaka kujua matatizo yetu ya kimaisha yaliyosababishwa na CCM ili ayatatue atakapochaguliwa kuwa rais.Kwa bahati nzuri kapita dirishani kwangu ilinilazimu nitoke nje kwani nilikuwa na watu wengi wakiimba LOWASSA!LOWASSA!LOWASSA HAKUNA KAMA WEWE.Lazima nimpatie kura yangu rais huyu
hizo njie za kizamani sana. Alitumia odinga hakufanikiwa. Alitumia kiiza besigye hakufanikiwa. Alitumia morgan tsvangirai hakufanikiwa
Duh! Hadi unatia huruma
CCM inadhani kuwa Watanzani tutaendelea kuwa vipofu daima.
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi
Alikuwa wapi siku zote?
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi