Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Mkuu 50thebe, Asante. PMkuu Pasco
Uko vizuri sana kuchambua na kubashiri mwelekeo wa siasa zetu. Hongera tena kwa kuwa na kiburi cha kuamini kwamba 'it is not over till it's over'.
Karama yako ya kuchambua na kubashiri ni karama adimu. Hongera mno kwa karama hii. Mwenyezi Mungu akujalie ujasiri ili utumie karama hii kwa faida ya nchi yetu hasa hasa kwenye kupigania ustawi wa watu masikini na wanaotengwa na jamii (socially excluded) kwa sababu mbalimbali.
Nikutakie heri na fanaka kwa mwaka 2016.
Inshallah.