Lowassa hayumo 5 bora ndani ya CCM

Lowassa hayumo 5 bora ndani ya CCM

Mkuu,lowasa ni kweli anapendwa na watu wa kawaida ila kwenye system,kwa lowasa ni pagumu sana kumpitisha lowasa.

Halafu huu kusema Lowasa anapendwa na wananchi wa kawaida ....acheni njaa vijana mnawasaliti wakina mama wanaorundikana wodini kutokana na wizi wa haya majamaa....bongo bhana ....yaani ingekuwa North Korea Lowassa angetunguliwa kwa rocket tangu2007
 
mchushi

Rockets zako zikiletwa zitawaua wengi sana maana Nchi hii kila kiongozi ana Ufisadi wake hakuna aliye msaafi, watangaza nia woote wana mapungufu yao, Mfano Baba yako Membe alikwapua Mapesa yoote ya marehemu Gadafi na anapiga dili kibao wizarani watu wanazijua lakini wanamsubiri apitishwe na ccm waanze kuanika wizi wake woote ndipo mtabaini kuwa umdhaniaye ndiye kumbe siye!
 
Last edited by a moderator:
Membe hawezi kuingia hata 5 bora mapesa ya marehemu Gadafi yanamtafuna na walibya wanamsubiri akiteuliwa tu kazi ya kumpeleka The Hague ianze, uchunguzi juu ya kifo cha balozi wa Libya utaanza upya, na mapesa na miladi ya libya itachunguzwa kwa makini kisha membe atawekwa kitanzini. Hakuna aliye msaafi kiasi cha kumnyooshea mwenzake vidole
 
Una akili sana Mkuu. Kuna uwezekano mkubwa wa hili kutokea ila wasiwasi wangu ni umri wake unaweza kuwa kikwazo.

Mkuu nimepitia bandiko lako na kulielewa sana,ila kwa habari za ndani ya chama na serikali ni kuwa kuna uwezekano wa rais akatoka zanzibar,ili kukwepa lawama za wabara waliotangaza nia na wanaotegemea kutangaza nia,uwezekano wa Dr shein akapitishwa kugombea ni mkubwa,ila tusubiri maana hakuna mwenye uelewa wa jambo Hilo 100%, zaidi wakubwa wa nchi.
 
Ikitokea Team Lowassa wameunganisha nguvu kwenda UKAWA, CCM itakuwa Salama?
 
Yaani naniliu asipokuwepo kwenye hizo 5 bora, mbona vita. Anyway siku hazigandi mi nasubiri kwa hamu nione kitakachotokea baada ya kutemwa watu
 
Haya madai kwamba Lowassa anapendwa sana na walalahoi ni uzushi wa kipropaganda. Mafisadi na wasakatonge ndiyo wanaomtaka.Msitubandikia wakati si chaguo letu. Na kama mtamchagua huko kwenye CCM yenu, you will be in for a huge surprise. Mark my words.
 
Jamani nyie mnaongea tu kwa kubwabwaja maneno,hakika hakuna mwenye ushawishi hapo ccm kama Lowasa....ninawaambia Rais ajaye ni Edward Lowassa....nashangaa kila siku watu wanamsema yeye tu...lakini mti wenye matunda ndo hupigwa mawe

Usisahau matunda yaliyooza ndiyo huvutiwa na Nzi
 
Ikitokea Team Lowassa wameunganisha nguvu kwenda UKAWA, CCM itakuwa Salama?

haiwezi kuwa salama na haitakuwa salama manake mpaka sasa hipo vipande 6 mpaka oct itakuwa 8 hapo ukawa inapita kama inanawa.
 
Hivi kwanin watangaza nia wa ccm wanamuandama sana Lowasa? Mbona Lowasa alipotangaza nia yake hakumponda mtu? Namkubali sana Lowasa kwa sababu ana siasa za kistaarabu. Hao wanaomponda ndo wanakiaribu chama. NB.

Itakuwa ngumu sana ccm kushinda kama haitampitisha Lowasa, Lowasa anakubalika mno kuliko mtu mwengine yeyote kwa sasa,yeye tu ndo mwenye ubavu wa kupambana na ukawa kwa sasa. Believe or not, that is a reality!
 
Muhogo ndo mpango mzima na mkubari sana huyu jamaa ni mzee wa action akosema ndio au hapana ni hivyo hivyo akikosa endapo ccm itashinda wampe uwaziri mkuu anafaaa

Nakubaliana na wewe. CCM wakimleta Muhongo nampa kura yangu. Ufanisi aliouleta madini na nishati unahitajika kwenye sekta zote. CCM watuletee huyo tumechoka na makapi yayofanya kazi kwa mazoea.
 
mchushi

Huyo ni MwanaChadema anampenda sana Lowasa,, Yuko radhi kufa kwa ajili ya Lowasa,,Hongera sana Mmawia kwa kuutambua utapeli wa Chadema
 
Last edited by a moderator:
Ni afadhali ccm wakose madaraka kuliko kumpitisha Lowassa. He is dirty to the core and the whole world knows. Wakimptisha anaweza akatumia maguvu ya fedha kuingia Ikulu, but matokeo ya yeye kuingia pale yatakuwa mabaya kwa ccm kuliko ya yeye kuhamia upinzani.

Kwanza akihamia upinzani hao wanaommwagia mapesa wataanza kumchezea keusi na kekundu. Kumbuka wao cha muhimu kwao ni fedha : yeyote atakayekwenda pale lazima watafute ushemeji Naye. Ogopa sana perceptions.

Watu wengi wanam perceive kama mtu asiye mwaminifu - hasa hasa wakubwa wenzie kutokana na tabia zake alipokuwa PM. Anayemjua EDO wa enzi hizo akamchagua Leo akitaraji atabadirika imekula kwake. Yeye tayari ni mbwa mzee hawezi kujifunza mbinu mpya. Style zake ni zile zile!!
 
Back
Top Bottom