Juzi wakati akihojiwa na bbc swahili alipoulizwa ataana nini baada ya kushindwa urais mheshiiwa Lowassa alijibu ataenda kijijini kwake kuchunga ng'ombe.
Katika hali ya kawaida unaona kuwa badala ya kusimama na kusema atajenga na kuimarisha upinzani, yeye anasema anarudi kuchunga na kwa maana hiyo hana dhamira ya dhati ya kuimarisha wala kujenga upinzani ila yeye kwake urais ndiyo kila kitu.
Kwa maana hiyo watanzania lazia tuue dhamira za wagombea wetu na hali halisi ya kutuletea maendeleo.
Lowassa hawezi kuleta maendeleo yeye ni urais tuu na zaidi ya hapo hana mchango wowote kwa taifa.
Katika hali ya kawaida unaona kuwa badala ya kusimama na kusema atajenga na kuimarisha upinzani, yeye anasema anarudi kuchunga na kwa maana hiyo hana dhamira ya dhati ya kuimarisha wala kujenga upinzani ila yeye kwake urais ndiyo kila kitu.
Kwa maana hiyo watanzania lazia tuue dhamira za wagombea wetu na hali halisi ya kutuletea maendeleo.
Lowassa hawezi kuleta maendeleo yeye ni urais tuu na zaidi ya hapo hana mchango wowote kwa taifa.