Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup

Lancashire

JF-Expert Member
Sep 20, 2014
14,045
10,329
Wakuu habari zenu!

Nimejaribu kutafakari kwa kina sababu za Lowassa kuanza kujisogeza katika utawala huu ambao kwa Chadema ni sawa na paka na panya.

Zipo sababu kadhaa ambazo naweza kudhani ndio zimemfanya mzee wetu Edward lowassa kujisalimisha katika Chama Cha Mapinduzi kama ifuatavyo:-

1. Lowassa kwa sasa hana Cha kupoteza ndani ya Chadema kwa kuwa tayari nafasi yake imepita ilikuwa ni 2015 last chance.hana matumaini ya kuendelea tena kugombea uraisi kupitia chama hicho hasa ukizingatia Chadema kuwa na hazina ya vichwa kama Tundu Lissu na wengine.

2. Lowassa mpaka sasa ameandamwa na vikwazo vingi katika mali zake na baadhi ya biashara zake kutoka serikalini hivyo kumuweka katika hatari ya kufilisiwa na ni wazi hata familia yake imemshauri ajisalimishe mapema kwa Rais magufuli ili kulinda maslahi yake na familia kwa ujumla.

3. Suala lingine ambalo kwa kiasi fulani nadhani limechangia Lowasa kukutana na Rais magufuli na kuweka mambo sawa ni suala la Mkwe wake Sioi sumari kuwekwa lock up mpaka sasa kwa makosa ya uhujumu chumi .tukumbuke huyu sioi amemuoa binti wa lowassa aitwaye Pamela.sasa kwa hili hakuwa na namna zaidi ya kuwasiliana na Bwana mkubwa.

Hizi ni baadhi ya sababu kwa mtazamo wangu zilizomfanya Bwana Lowassa kusurrander katika Utawala wa CCM.na nikiangalia siku si nyingi Lowassa atatangaza kujiunga na CCM.
Ningependa kila mtu hapa aweze kutoa sababu ambazo anadhani zimempelekea Lowassa kuunga mkono Utawala wa rais kinyume na msimamo wa Chadema.

NB. Moderators nawaomba msiunganishe uzi huu ili watanzania tuweze kuchambua kwa kina sababu za msingi za Lowassa kukutana na Rais Magufuli na Kuunga Mkono Juhudi za Rais wetu mpendwa.
 
Wakuu habari zenu!

Nimejaribu kutafakari kwa kina sababu za Lowassa kuanza kujisogeza katika utawala huu ambao kwa Chadema ni sawa na paka na panya.

Zipo sababu kadhaa ambazo naweza kudhani ndio zimemfanya mzee wetu Edward lowassa kujisalimisha katika Chama Cha Mapinduzi kama ifuatavyo:-

1. Lowassa kwa sasa hana Cha kupoteza ndani ya Chadema kwa kuwa tayari nafasi yake imepita ilikuwa ni 2015 last chance.hana matumaini ya kuendelea tena kugombea uraisi kupitia chama hicho hasa ukizingatia Chadema kuwa na hazina ya vichwa kama Tundu Lissu na wengine.

2. Lowassa mpaka sasa ameandamwa na vikwazo vingi katika mali zake na baadhi ya biashara zake kutoka serikalini hivyo kumuweka katika hatari ya kufilisiwa na ni wazi hata familia yake imemshauri ajisalimishe mapema kwa Rais magufuli ili kulinda maslahi yake na familia kwa ujumla.

3. Suala lingine ambalo kwa kiasi fulani nadhani limechangia Lowasa kukutana na Rais magufuli na kuweka mambo sawa ni suala la Mkwe wake Sioi sumari kuwekwa lock up mpaka sasa kwa makosa ya uhujumu chumi .tukumbuke huyu sioi amemuoa binti wa lowassa aitwaye Pamela.sasa kwa hili hakuwa na namna zaidi ya kuwasiliana na Bwana mkubwa.

Hizi ni baadhi ya sababu kwa mtazamo wangu zilizomfanya Bwana Lowassa kusurrander katika Utawala wa CCM.na nikiangalia siku si nyingi Lowassa atatangaza kujiunga na CCM.
Ningependa kila mtu hapa aweze kutoa sababu ambazo anadhani zimempelekea Lowassa kuunga mkono Utawala wa rais kinyume na msimamo wa Chadema.

NB. Moderators nawaomba msiunganishe uzi huu ili watanzania tuweze kuchambua kwa kina sababu za msingi za Lowassa kukutana na Rais Magufuli na Kuunga Mkono Juhudi za Rais wetu mpendwa.
FikiRi pia upande wa siyoi mwenyewe; unafikiri siyoi hawezi kujisemea mpaka asemewe na baba mkwe? Tukumbuke pia kuwa mama wa siyoi yupo: hawezi kumuombea mwanaye?,
Bado naamin Lowasa alienda ikulu na agenda nyingine.
 
FikiRi pia upande wa siyoi mwenyewe; unafikiri siyoi hawezi kujisemea mpaka asemewe na baba mkwe? Tukumbuke pia kuwa mama wa siyoi yupo: hawezi kumuombea mwanaye?,
Bado naamin Lowasa alienda ikulu na agenda nyingine.
nimejaribu kufikiria hadhi ya lowasa kukutana na rais ni tofauti kama mma wa sioi angeweza kuweka ahadi ya kukutana na rais.
 
Ni kawaida tu,

wanaoweza kuwatoa mhanga hata mama zao wakafungwa nao wakibaki na msimamo hapa duniani wanapatikana palestina peke yake,

sijui wale watu ni mbegu ya wapi..

Nasikiaga asili yao ni visiwa vya crete,kule ugiriki,
sasa sijui wagiriki nao wana msimamo mkali kama huo.
Lowasa hata kama sio kujisalimisha,huezi kumponda rais mbele ya kamera na mkiwa nae hapohapo.
 
Wakuu habari zenu!

Nimejaribu kutafakari kwa kina sababu za Lowassa kuanza kujisogeza katika utawala huu ambao kwa Chadema ni sawa na paka na panya.

Zipo sababu kadhaa ambazo naweza kudhani ndio zimemfanya mzee wetu Edward lowassa kujisalimisha katika Chama Cha Mapinduzi kama ifuatavyo:-

1. Lowassa kwa sasa hana Cha kupoteza ndani ya Chadema kwa kuwa tayari nafasi yake imepita ilikuwa ni 2015 last chance.hana matumaini ya kuendelea tena kugombea uraisi kupitia chama hicho hasa ukizingatia Chadema kuwa na hazina ya vichwa kama Tundu Lissu na wengine.

2. Lowassa mpaka sasa ameandamwa na vikwazo vingi katika mali zake na baadhi ya biashara zake kutoka serikalini hivyo kumuweka katika hatari ya kufilisiwa na ni wazi hata familia yake imemshauri ajisalimishe mapema kwa Rais magufuli ili kulinda maslahi yake na familia kwa ujumla.

3. Suala lingine ambalo kwa kiasi fulani nadhani limechangia Lowasa kukutana na Rais magufuli na kuweka mambo sawa ni suala la Mkwe wake Sioi sumari kuwekwa lock up mpaka sasa kwa makosa ya uhujumu chumi .tukumbuke huyu sioi amemuoa binti wa lowassa aitwaye Pamela.sasa kwa hili hakuwa na namna zaidi ya kuwasiliana na Bwana mkubwa.

Hizi ni baadhi ya sababu kwa mtazamo wangu zilizomfanya Bwana Lowassa kusurrander katika Utawala wa CCM.na nikiangalia siku si nyingi Lowassa atatangaza kujiunga na CCM.
Ningependa kila mtu hapa aweze kutoa sababu ambazo anadhani zimempelekea Lowassa kuunga mkono Utawala wa rais kinyume na msimamo wa Chadema.

NB. Moderators nawaomba msiunganishe uzi huu ili watanzania tuweze kuchambua kwa kina sababu za msingi za Lowassa kukutana na Rais Magufuli na Kuunga Mkono Juhudi za Rais wetu mpendwa.


Kwani Lowasa ni Babako? Au kuna kuna kitu unamdai?
 
Watu wanakosea..Mh Lowasa ameenda kumueleza mambo yanayomhisi na amabyo anahisi Mh Rais anadanganywa..mfano kupika marufuku mikutano ya hadhara..lakini wakashaulina jinsi ya kulifanya vizuri zaidi..Lakini kamueleza majizi wengine ndani ya Serikali na njia walizotumia. Pia amfikishia salamu kutoka kwa kenyata.. ndo maana mh Rais amesema hawezi kuyazungumza hadharani labda ila anayafanyia kazi.. Sioni ubaya wa Lowasa kwanhi hata mbowe akienda au Maalim Self akienda ikulu sidhani ...kama akitoka atasema nimemwambai mh rais ni Dictiteta.

usipite kimya kimya boss
 
Back
Top Bottom