Lowassa hana huruma tena na CCM

Lowassa hana huruma tena na CCM

youngsharo

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,491
Reaction score
500
Ama kweli nimeamini Lowassa alikuwa na msimamo wa pekee ndani ya CCM.

Lowassa amepania kuwaokoa watanzania, hana huruma tena na chama chake cha awali.

Nathubutu kusema kwa namna nyingine/kwa tafsiri ya kisiasa, Lowassa alikuwa "MSALITI" wa CCM tangu akiwa waziri mkuu.

Nini maana ya msaliti? msaliti ni mtu anayejifanya kuwa yuko na wewe ilihali anatumika na mtu/watu wa upande mwingine.

Lowassa alikuwa msaliti kwa sababu alisimama kama mwanaCCM lakini alitumika na wananchi, CCM haikuwa na nia ya kuwapa maendeleo watanzania, Lowassa akatumia nafasi hiyo akakusanya siri zote na kuwapatia wananchi.

Lowassa alitaka watanzania wafaidi matunda yao, CCM walitaka kuendelea kushibisha matumbo yao, na ndipo Ccm baada ya kugundua kuwa Lowassa yuko tofauti na malengo yao walianza kugoma kumpa kipaumbele, lakini kwa kuwa alipoamua kujitosa, sasa Ccm wanajuta maamuzi yao na Lowassa hana huruma nao tena kama wao walivyokuwa hawana huruma na wananchi wao.

Viva Edward Lowassa

youngsharo
 
Lowasa kapanda basi la ukawa. Yoyote ambae bado kabakia basi la rangi ya kijani basi huyo si rafiki yake. lakini bado ananafasi ya kumpa kura yake popote pale alipo
 
Lowasa kapanda basi la ukawa. Yoyote ambae bado kabakia basi la rangi ya kijani basi huyo si rafiki yake. lakini bado ananafasi ya kumpa kura yake popote pale alipo

hahaaa, yaani waliopanda basi la ccm wanaruhusiwa kulipa nauli kwenye basi la ukawa sio?
 
Chama cha siasa ni wanachama ukiacha usajili, uhai wa chama hutegemea wanachama!!! Hawa ndio wapiga kura, watu muhimu mno...Lowassa kafuata matarajio ya wanachama asilaumiwe
 
Chama cha siasa ni wanachama ukiacha usajili, uhai wa chama hutegemea wanachama!!! Hawa ndio wapiga kura, watu muhimu mno...Lowassa kafuata matarajio ya wanachama asilaumiwe

ccm ndo wanaomlaumu wanathubutu hata kumtukana!
 
mimi kipo kila nikirudi nakiangalia nikitoka kuoga nakigusaaaa /mswaki pia
 
Hata mimi sina huruma na CCM,ni mwendo wa kuchinja tu.
nifah: wewe ni mshabiki mkubwa wa EL, omba matokeo yawe upande wako, la utafadhaika maishani. Ila jua kwamba yeye umshabikiaye hivyo, ninimani yangu iuna kitu unategemea. Kila la kheri.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Last edited by a moderator:
Ama kweli nimeamini Lowassa alikuwa na msimamo wa pekee ndani ya Ccm,
Lowassa amepania kuwaokoa watanzania, hana huruma tena na chama chake cha awali.

Nathubutu kusema kwa namna nyingine/kwa tafsiri ya kisiasa, Lowassa alikuwa "MSALITI" wa CCM tangu akiwa waziri mkuu.

Nini maana ya msaliti? msaliti ni mtu anayejifanya kuwa yuko na wewe ilihali anatumika na mtu/watu wa upande mwingine.
Lowassa alikuwa msaliti kwa sababu alisimama kama mwanaCCM lakini alitumika na wananchi, Ccm haikuwa na nia ya kuwapa maendeleo watanzania, Lowassa akatumia nafasi hiyo akakusanya siri zote na kuwapatia wananchi.
Lowassa alitaka watanzania wafaidi matunda yao, Ccm walitaka kuendelea kushibisha matumbo yao, na ndipo Ccm baada ya kugundua kuwa Lowassa yuko tofauti na malengo yao walianza kugoma kumpa kipaumbele, lakini kwa kuwa alipoamua kujitosa, sasa Ccm wanajuta maamuzi yao na Lowassa hana huruma nao tena kama wao walivyokuwa hawana huruma na wananchi wao.
Viva Edward Lowassa


youngsharo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom