Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,741
- 3,544
Ht mm nahamia team mabadiliko
Ht mm nahamia team mabadiliko
nifah: wewe ni mshabiki mkubwa wa EL, omba matokeo yawe upande wako, la utafadhaika maishani. Ila jua kwamba yeye umshabikiaye hivyo, ninimani yangu iuna kitu unategemea. Kila la kheri.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Kidude cha like Ni Mara moja. Nilitaka kutoa nyingi kama spread sheet.
Viva Mzee viva.tuko beneti na wewe jua au mvua.
atawatonesha matez jike
Nina Mahaba! Na Jiwe Walilolikataa Washi! Ccm!
Limekuwa Jiwe Kuu! #mabadiliko
Ht mm nahamia team mabadiliko
Picha ya nifah imekuchanganya, sasa unajifanya kumwonea huruma...Changia Thread ya Youngsharo bana. Wewe unadhani watu waliopo hapa wana ushabiki wa kitoto pasipo mategemeo? Tegemeo la kila mwenye kumshabikia Lowassa ni " Mabadiliko " Kama ulikuwa hujui ujue sasa.nifah: wewe ni mshabiki mkubwa wa EL, omba matokeo yawe upande wako, la utafadhaika maishani. Ila jua kwamba yeye umshabikiaye hivyo, ninimani yangu iuna kitu unategemea. Kila la kheri.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
nifah nakupenda sana.Hata mimi sina huruma na CCM,ni mwendo wa kuchinja tu.
nifah: wewe ni mshabiki mkubwa wa EL, omba matokeo yawe upande wako, la utafadhaika maishani. Ila jua kwamba yeye umshabikiaye hivyo, ninimani yangu iuna kitu unategemea. Kila la kheri.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Ht mm nahamia team mabadiliko
Ama kweli nimeamini Lowassa alikuwa na msimamo wa pekee ndani ya CCM.
Lowassa amepania kuwaokoa watanzania, hana huruma tena na chama chake cha awali.
Nathubutu kusema kwa namna nyingine/kwa tafsiri ya kisiasa, Lowassa alikuwa "MSALITI" wa CCM tangu akiwa waziri mkuu.
Nini maana ya msaliti? msaliti ni mtu anayejifanya kuwa yuko na wewe ilihali anatumika na mtu/watu wa upande mwingine.
Lowassa alikuwa msaliti kwa sababu alisimama kama mwanaCCM lakini alitumika na wananchi, CCM haikuwa na nia ya kuwapa maendeleo watanzania, Lowassa akatumia nafasi hiyo akakusanya siri zote na kuwapatia wananchi.
Lowassa alitaka watanzania wafaidi matunda yao, CCM walitaka kuendelea kushibisha matumbo yao, na ndipo Ccm baada ya kugundua kuwa Lowassa yuko tofauti na malengo yao walianza kugoma kumpa kipaumbele, lakini kwa kuwa alipoamua kujitosa, sasa Ccm wanajuta maamuzi yao na Lowassa hana huruma nao tena kama wao walivyokuwa hawana huruma na wananchi wao.
Viva Edward Lowassa
youngsharo