Lowassa hana huruma tena na CCM

Lowassa hana huruma tena na CCM

Picha ya nifah imekuchanganya, sasa unajifanya kumwonea huruma...Changia Thread ya Youngsharo bana. Wewe unadhani watu waliopo hapa wana ushabiki wa kitoto pasipo mategemeo? Tegemeo la kila mwenye kumshabikia Lowassa ni " Mabadiliko " Kama ulikuwa hujui ujue sasa.

hii mingine ipo tu hata haielewi kinachoendelea.
 
Ama kweli nimeamini Lowassa alikuwa na msimamo wa pekee ndani ya CCM.

Lowassa amepania kuwaokoa watanzania, hana huruma tena na chama chake cha awali.

Nathubutu kusema kwa namna nyingine/kwa tafsiri ya kisiasa, Lowassa alikuwa "MSALITI" wa CCM tangu akiwa waziri mkuu.

Nini maana ya msaliti? msaliti ni mtu anayejifanya kuwa yuko na wewe ilihali anatumika na mtu/watu wa upande mwingine.

Lowassa alikuwa msaliti kwa sababu alisimama kama mwanaCCM lakini alitumika na wananchi, CCM haikuwa na nia ya kuwapa maendeleo watanzania, Lowassa akatumia nafasi hiyo akakusanya siri zote na kuwapatia wananchi.

Lowassa alitaka watanzania wafaidi matunda yao, CCM walitaka kuendelea kushibisha matumbo yao, na ndipo Ccm baada ya kugundua kuwa Lowassa yuko tofauti na malengo yao walianza kugoma kumpa kipaumbele, lakini kwa kuwa alipoamua kujitosa, sasa Ccm wanajuta maamuzi yao na Lowassa hana huruma nao tena kama wao walivyokuwa hawana huruma na wananchi wao.

Viva Edward Lowassa

youngsharo


.
Mwaka huu ni uchaguzi kati ya mgombea wa wananchi(Lowasa ) na mgombea wa watawala (Magufuli ) ili wakalale usingizi na kula walivyotuibia.

Wananchi wanyonge tumkatae Magufuli kwani yupo kwa ajili ya wachache wanaotaka kulala baada ya kutudhulumu kwa muda mrefu.

Mfumo hautamruhusu magufuli kuwadhibiti mawaziri wanaofanya mikataba ya siri na kunyakulia 10% zinazowasaidia kupiga kampeni na kuyapendelea majimbo yao.
Ni mfumo wa kukusanya mabilioni ya kampeni kama zile za EPA .
Magufuli hatajitenga na Manunuzi ya feri mbovu kwani ndipo zinapopatikana pesa za kampeni. Ndio maana kila waziri ndani ya ccm alijianaa kugombea Urais huku wakimwaga mabilioni kwenye majimbo yao ili wapate ubunge.
Ufisadi hautaisha kama ubunge hautatenganishwa na uwaziri.
 
.
Mwaka huu ni uchaguzi kati ya mgombea wa wananchi(Lowasa ) na mgombea wa watawala (Magufuli ) ili wakalale usingizi na kula walivyotuibia.

Wananchi wanyonge tumkatae Magufuli kwani yupo kwa ajili ya wachache wanaotaka kulala baada ya kutudhulumu kwa muda mrefu.

Mfumo hautamruhusu magufuli kuwadhibiti mawaziri wanaofanya mikataba ya siri na kunyakulia 10% zinazowasaidia kupiga kampeni na kuyapendelea majimbo yao.
Ni mfumo wa kukusanya mabilioni ya kampeni kama zile za EPA .
Magufuli hatajitenga na Manunuzi ya feri mbovu kwani ndipo zinapopatikana pesa za kampeni. Ndio maana kila waziri ndani ya ccm alijianaa kugombea Urais huku wakimwaga mabilioni kwenye majimbo yao ili wapate ubunge.
Ufisadi hautaisha kama ubunge hautatenganishwa na uwaziri.

Kwa hali hiyo hizo pesa alizoiba alikuwa kazitunza kwa ajili ya watz? kasema alitunza ngapi? hiyo ni akili ya samaki, tena ww ni ndina kwelikweli, lakini pia si kosa lako kwani ni kosa la mazingira ulokulia!
 
.
Mwaka huu ni uchaguzi kati ya mgombea wa wananchi(Lowasa ) na mgombea wa watawala (Magufuli ) ili wakalale usingizi na kula walivyotuibia.

Wananchi wanyonge tumkatae Magufuli kwani yupo kwa ajili ya wachache wanaotaka kulala baada ya kutudhulumu kwa muda mrefu.

Mfumo hautamruhusu magufuli kuwadhibiti mawaziri wanaofanya mikataba ya siri na kunyakulia 10% zinazowasaidia kupiga kampeni na kuyapendelea majimbo yao.
Ni mfumo wa kukusanya mabilioni ya kampeni kama zile za EPA .
Magufuli hatajitenga na Manunuzi ya feri mbovu kwani ndipo zinapopatikana pesa za kampeni. Ndio maana kila waziri ndani ya ccm alijianaa kugombea Urais huku wakimwaga mabilioni kwenye majimbo yao ili wapate ubunge.
Ufisadi hautaisha kama ubunge hautatenganishwa na uwaziri.

Ndio maana tunahitaji Umoja wa Katiba ya Wananchi maarufu kama UKAWA si kingine chochote
 
Back
Top Bottom