mkulimawakiteto
Sisi ni ndugu zake Dr. Slaa tunamjua kuliko wewe aliyesema Gwajima ni kweli.Na acha haki itendeke hakuna mwenye nafuu wala afadhali komebi kumchafua Lowassa na kuwaaminisha watanzania hafai kuli hali mnajua hayo mnafanya kwa maslahi yenu.Yuko Mungu Anayehukumu kwa haki.Na kama Mungu aishivyo mipango yote dhalimu ya kuendelea kumtesa na kumgandamiza maskini haitafanikiwa hata kidogo.Adui wote wa maskini wameinuka kwa njia moja watatoweka kwa njia saba.Siku inakuja na sasa ipo ambapo furaha ya Maskini itakuwa ni msiba mzito kwa walafi na hao wamuabuduo shetani wa nchi hii
Sisi ni ndugu zake Dr. Slaa tunamjua kuliko wewe aliyesema Gwajima ni kweli.Na acha haki itendeke hakuna mwenye nafuu wala afadhali komebi kumchafua Lowassa na kuwaaminisha watanzania hafai kuli hali mnajua hayo mnafanya kwa maslahi yenu.Yuko Mungu Anayehukumu kwa haki.Na kama Mungu aishivyo mipango yote dhalimu ya kuendelea kumtesa na kumgandamiza maskini haitafanikiwa hata kidogo.Adui wote wa maskini wameinuka kwa njia moja watatoweka kwa njia saba.Siku inakuja na sasa ipo ambapo furaha ya Maskini itakuwa ni msiba mzito kwa walafi na hao wamuabuduo shetani wa nchi hii
Last edited by a moderator: