Mangwelele
Senior Member
- Jul 22, 2013
- 111
- 15
huyo atakua ni kada wa ccm ame2mwa kumchafua mhexhmiwa hana lolote hawaz ku2badilixha mcmamo we2 cc cku ya kura 2taenda kumpa mhexhmiwaJamani acha kupoteza muda bure kumjibu. Angalia takwimu zake
General Information
Last Activity Today 20:22Join Date12th September 2015
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020
jamani fanyeni research nchi nzima c Jf humu!!!!lowasa atashinda vipi!?!!!angalien mkoa wa moshi,arusha,manyara,na iringa anapojivunia anaungwa wamejiandikisha wangapi!!!dar 2.8 milion,wakati wakazi 8milion,mwanza 2.7kwakaz 7milion!!!watanzania waliojiandikisha 23.8milion!!!huyu robot anashindaje!!!ccm tu ina wanachama halal 9!!!robot liwasa chukulia wapo watakampa kula 1milion!!!!wanapak 8milion!!kila mwanachama aende kupiga kula na mtu mmoja baki!!!dr magufuli atapata 16 milion!!!polen msio na tafiti za kutosha
Ndo propaganda mlizotumwa mueneze au sio???hv unadhan watu hatuend au hatufatlii mikutano??yan chadema hata atoke mbowe cc tunabak na mzee wetu na ushnd lazma...nenda kawaambie waliokutuma
tuwekeeni picha au video, mbona mbeya tuliwawekea video ikionesha watu wanaonesha vidole viwili juu wakati makufuli anapita.
Aisha Iddi, naomba nikupe ushauri mdogo tu, umejiunga na JF tarehe 25 August, 2015 na hata mwezi bado na toka umejiunga umeanzisha mada tatu tu na post zako kwa ujumla ni 31. Katika hizo zote hakuna ulipojitambulisha na uanachadema, sana sana umejitambulisha kama mwana CCM kindakindaki na shabiki mkubwa wa Magufuli. Kijana kumbuka hii ni JF na hivyo ukiwa muongo hakikisha huwi msahaulifu; JF inatunza kumbu kumbu.
sisi hatuna ulimbukeni huo
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020
Azomewe tu maana hana jipya zaidi ya maradhi yanayomsumbua.
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni CHADEMA Masalia wakiwa katika makundi tofauti tofauti.
Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama.
Wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.