Lowassa azizima Mwanza

Lowassa azizima Mwanza

LOWASA ni fisadi wala siyo kama unavyodhani.

una ushahidi? mbona hampeleki mahakamani mnabaki kulalama kama kenge kaibiwa yai? kwani hii nchi haina mahakama ya kupeleka watuhumiwa wa ufisadi? akili ya kupewa changanya na yako. ufisadi wote unamhusisha lowasa ni 'hearsay' hakuna ushahidi.
 
Huyu mgombea kila anapooneka ni hatarii, leo tena wakati anatoka gold crest hotel Mwanza kuelekea karagwe kwenye mkutano, hoteli ilikuwa imezungukwa na umati wa watu wengine wakiwa barabarani.

Kwa sasa ndio anasepa kuelekea airpot kupanda chopa kuelekea Karagwe kufanya mkutano kayanga mida ya saa 6.30 mchana.

Ningeshangaa kama ningeona Lowassa akizizima.kumbe waliozizima ni VIJANA wanaodanganyika.
 
we huko masanza yenu napo utasema mwanza!!


utasema masanza!!! Utajibeba.... Mjini mwanza kuanzia gold crest alipolala mzee wa mahaba.., mwanza hotel hadi toleo la bara bara ya nyerere road ni kijani kitupu kinapepea....kasoro kwa muuza magazeti ambaye ni agent wenu lakini sasa ameificha nyuma kibendera cha chadomo..

Mbele kwa mbele.....mabula nselema..... Magufuli nselema!!!!
 
magufuli hajawekwa na mtu kwenye uongozi ila fisadi lowasa ndiyo kafikishwa hapo na mafisadi.

Ungejua neno ufsad watu wamelichoka usingeangaika. Manake huku kitaa tushaona kawaida tu. Jarbuni kutafta mbinu nyingine ili tuwasome. Niushauli tu kwa wana ccm. Manake tumewapa nchi mnashindwa kuwatia ndani hao ambao mnawaita mafisad. Sheria mnazo kila kitu alafu mnakuja kutuubilia sisi tulowapa madaraka. Unazani sisi tutafanya nn zaidi yakufanya maamz mazito kipnd hiki.
 
HUKU MWANZA...HAKUNA HOMA YA LOWASSA.... KAMA KAWAIDA...SAMPULI YA WAFUASI WAKE NI WALE WALE WA KAWAIDA KUNA GROUP LA BODA BODA ( wa mafuta full tank) , WAFANYABIASHARA WA KICHAGA, WAJALUO NA WASHASHI WACHACHE AMBAO NI WAFUASI WA WENJE......TENA LEO WALIKUWA WANAIMBA KIJALUO.....NENO MABADILIKO....

MWANZA HAPA KAZI TU......WAFUASI WA CHADEMA ASILI WAMEIBATIZA...... M4C (MAGUFULI 4 CHANGE)....

Mkuu mm nimoja yawatu ambao wako mwanza. Unayosema si kweli manake hata mm nilikua naichkia hii kitu ukawa lakini kwass tuko nawashikaji kibao tumeamua kumsapot Edo kiukweli mwana anaupepo mkali sana sana hadi mm kanichota nawana kibao. Kweli nimeamini kua nimpango wamungu duuuuu.
 
wewe si wa mwanza!!! Mwanza haina WANA.....mwanza ina wanazengo!!! LOWASA NI MWANA WA WANA......na kazi yenu inajulikana.. jamii ya WANA aka MATEJA ni wavunja sheria na wana HOFU na TINGA TINGA...kama wewe unatoka jamii ya WANA hauna kazi na sisi..kikatio chako utakuwa umeshakiuza kwa ajili ya SEMBE kama sio VILOBA..... Chaguo la mungu huwa halina uhusiano na WAZEE WA MISUKULE....huyu ameshajulika ni MSHENGA MKUUU wa MZEE wa MISUKULE NGUVU ZA GIZA KIBAO...... Mwanza na TINGA TINGA....... TINGA TINGA na Mwanza!!! Mwanza ni KIJANI NA NJANO....
 
watu wanafuata pesa bana wala hakuna lingine huyu fisadi anagawa pesa njenje kwanini wasiende kupanga foleni.

Jinsi unavyo comment unaonekana kabisa umekata tamaa na Pombe.
 
Ungejua neno ufsad watu wamelichoka usingeangaika. Manake huku kitaa tushaona kawaida tu. Jarbuni kutafta mbinu nyingine ili tuwasome. Niushauli tu kwa wana ccm. Manake tumewapa nchi mnashindwa kuwatia ndani hao ambao mnawaita mafisad. Sheria mnazo kila kitu alafu mnakuja kutuubilia sisi tulowapa madaraka. Unazani sisi tutafanya nn zaidi yakufanya maamz mazito kipnd hiki.
Kwani wewe pia ni fisadi hata uogope fisadi wakiandamwa?
 
Bado nashangaa hao wananchi kuacha kazi zao kwenda kuzunguka hotel,nahisi Kuna kitu wanafikiri watapata pole Yao.kiongozi akishaingia madarakani hakujui ni vema sasa tuache ushabiki usio na maana tujenge taifa letu.
 
Back
Top Bottom