gsu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 3,461
- 712
unaumwa ww?
watu wanafuata pesa bana wala hakuna lingine huyu fisadi anagawa pesa njenje kwanini wasiende kupanga foleni.
unaumwa ww?
Magufuli hawezi kuwa Rais hata iweje
Kama barabara za Mwanza zilipigwa deki kwa ajili yake, unategemea MAHABA gani kwa wafuasi wake wakimuona anatoka hotelini? Mwenye chongo huitwa kengeza!Huyu mgombea kila anapooneka ni hatarii, leo tena wakati anatoka gold crest hotel Mwanza kuelekea karagwe kwenye mkutano, hoteli ilikuwa imezungukwa na umati wa watu wengine wakiwa barabarani.
Kwa sasa ndio anasepa kuelekea airpot kupanda chopa kuelekea Karagwe kufanya mkutano kayanga mida ya saa 6.30 mchana.
unaumwa ww?
LOWASA ni fisadi wala siyo kama unavyodhani.
HUKU MWANZA...HAKUNA HOMA YA LOWASSA.... KAMA KAWAIDA...SAMPULI YA WAFUASI WAKE NI WALE WALE WA KAWAIDA KUNA GROUP LA BODA BODA ( wa mafuta full tank) , WAFANYABIASHARA WA KICHAGA, WAJALUO NA WASHASHI WACHACHE AMBAO NI WAFUASI WA WENJE......TENA LEO WALIKUWA WANAIMBA KIJALUO.....NENO MABADILIKO....
MWANZA HAPA KAZI TU......WAFUASI WA CHADEMA ASILI WAMEIBATIZA...... M4C (MAGUFULI 4 CHANGE)....
Mi nikisoma neno ccm naumwa kichwa.
Tiba yake ni kutamka Lowassa mara 3
Mtakoma safari hii maana hamna jipya,kunya anye mwingine,kuzoa azoe Lowasa,aliyechafua nyumba anaweweseka sasa hiviLOWASA ni fisadi wala siyo kama unavyodhani.