Lowassa: Awamu ya pili inakuja

IamPrince George

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2014
Posts
412
Reaction score
168
Trust me Lowassa ndio Rais wa hii Nchi,Wananchi wameamua, hakuna mfumo unaotoka kirahisi, nimesoma gazeti la mwananchi linasema Lowasa asema safari ya kuelekea ikuli ndo imeanza.

Yeah.... Safari ndo imeanza wakuu, hiyo ndio kauli ya shujaa wetu Edward Lowassa


Chanzo: Mwananchi
 

Huku kwetu ni jumapili,vipi huko uliko
 
Simu inaweza kuzima, ikiwaka tena inakuta teknoljia imebadilika!
 
UKAWA mnajitia aibu mnavyoendelea kulia lia banah!Lowassa ndio mwisho wake mwaka huu kisiasa hasa za uraisi maana umri utakuwa umemtupa mkono ifikapo 2020!

Poleni jamani mtazoea tu hii hali
 
ikulu IPI kamanda KWA ninavyowafaham ukawa pigo kubwa walilopigwa ni lile LA kuwakamata vijana wao wa IT hawana mpya ccm wamewazidi kila kona.
mm ninachopata hasira zaidi jamaa waliwapa taarifa kuwa lazima wawachezee rafu na hata huko wanakotaka kwenda kushtaki walisikia hayo mambo ya rafu wao wakalegea na kubweteka wamepigwa rafu now wanalalamika nini??

lowasa alisema tupige kura kwa wengi tukapiga akasema kazi ya kurinda kura tumwachie yy kashindwa kazi yake sasa tufanyeje??

wakubali yaishe wajipange upya 2020 sio mbali sana kukijenda chama sehem ambazo ni ngome za chadema wajihakikishie wanajiimalisha vilivyo aisee.
 
UKAWA mnajitia aibu mnavyoendelea kulia lia banah!Lowassa ndio mwisho wake mwaka huu kisiasa hasa za uraisi maana umri utakuwa umemtupa mkono ifikapo 2020!

Poleni jamani mtazoea tu hii hali

Tutalipiza kupitia Zanzibar.Maalim akiwa raisi anaitishsa kura ya maoni kuamua kama wazanzibar wanataka muungano au hawautaki.Baada ya hapo Magufuli atakuwa hana kazi-tafakari utaelewa.
 
Safari Ya Mabadiliko Iendelee, Safi Sana tunaendelea
 
Wamekubali kushindwa.....uungwana ni vitendo.
 
Tusipeane moyo, Lowasa hawezi tena kuwa rais wa nchi hii,

Ila nawaambieni hawa waliolewa madaraka iko siku yao mana wamejisahahu hadi wanatuma watoto wao watutukane mitandaoni
 
Huenda wanajiandaa kwenda ikulu kivuli au wanahamu na Segerea
 

Please!!!! majibu yameshatoka.Shocking.
 
Ajiandae hata atengrneze jeshi lake kama anaweza ila atambue kwambwa hii nchi inaitwa Tz na yeye hatakaa awe rais wa nchi yetu
 
Tutalipiza kupitia Zanzibar.Maalim akiwa raisi anaitishsa kura ya maoni kuamua kama wazanzibar wanataka muungano au hawautaki.Baada ya hapo Magufuli atakuwa hana kazi-tafakari utaelewa.

Umeeleweka vizuri sana.sasa tegemeo la ukawa ni maalimu sef je wao wenyewe wanajua kuwa maalimu sef ndio kete ya mwisho kabisa wanayoihitaji?
 
UKAWA mnajitia aibu mnavyoendelea kulia lia banah!Lowassa ndio mwisho wake mwaka huu kisiasa hasa za uraisi maana umri utakuwa umemtupa mkono ifikapo 2020!

Poleni jamani mtazoea tu hii hali

lowassa bmpaka sasa ana miaka 62, na samweli sitta ana miaka 70, prof. mwandosya ana miaka 67 na bado amegombea Uraisi. Wewe Vip?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…