Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Kenyatta ashukuriwe sanaMie sijui Tanzania tuna matatizo gani kweli!!
Tusitumie janga la tetemeko ktk mambo ya kisiasa.
Tutofautishe kati ya kuwajulia hali zao wahanga na kufanya mikutano ya siasa kwa wafuasi wa vyama.
Tumeenda,tumewaona,tumewapa msaada,tumewafariji,tumepewa taarifa ya mkoa kuhusu tetemeko,tumepumzika,senene tumekula jamani bado tu.
Uungwana kwa kwenda tu ni muhimu sana kwani thawabu ni kwa Muumba.