usishangae wakasema kuna mlipuko wa kipindupindu kwaiyo haitakiwi misongamano.mungu ampumuzishe kwa amani.Sijui na kwenye msiba huu napo watamdhibi/mzuia Rais wetu mtarajiwa EL asihudhurie mazishi !
Tusubiri tuone .
Lowasa anastahili kuw rais. Pamoja na Celina kombani kumsema vibaya lowasa but lowasa hajachukia. Celina aliwahi kumkashifu lowasa kwa maneno hay: BORA AMEONDOKA ASITUFIE SISI AKAWAFIE CHADEMA
Lowasa anastahili kuw rais. Pamoja na Celina kombani kumsema vibaya lowasa but lowasa hajachukia. Celina aliwahi kumkashifu lowasa kwa maneno hay: BORA AMEONDOKA ASITUFIE SISI AKAWAFIE CHADEMA
Nukuu "Bora Lowasa ameondoka na kuhamia huko Ukawa maana angetufia sisi huku CCM bora Akafie huko Chadema"
( Celina Kombani, 2015)
Kwa Mapenzi ya Mungu Kafa yeye kamuacha Lowassa...Tuepuke Maneno Mabaya kwa Wenzetu.
R.I.P MH CELINA KOMBANI