Viongozi wa TZ ni wa ajabu sana!
(1)LOWASA-Alikuwa PM lkn HAKUTHUBUTU kuyasema mapungufu ya mfumo wetu wa elimu na KUYAPATIA UFUMBUZI alipokuwa madarakani!
(2)SUMAYE-Alikuwa PM na ndiye aliitumbukiza nchi kwenye rushwa ya uchaguzi alipoongoza Bunge litunge sheria ya TAKRIMA lkn sasa analia kuwa Mama Nagu alimuangusha kwa rushwa amesahau kuwa ni YY aliyeiasisi!
(3)Mzee Mangula nae juzi kasema atapambana na rushwa lkn KASAHAU kuwa ndiye yeye aliipamba kwa kutamka kuwa"mgombea kuwahudumia wapiga kura KABLA ya kupiga kupiga kura sio dhambi"lkn baadae akalalamika sana alipoangushwa kwa rushwa na Jah People kule Iringa!
INA MAANA VIONGOZI WETU WANAONA MATATIZO HADI WAKITOKA MADARAKANI?Lowassa na wenzake ni wa kupuuzwa na HAWANA JIPYA!
Tume ya nini?
Mwenye sera za Elimu za CUF,NCCR na CHADEMA aweke humu tuzione au azione najua anapita humu au vibaraka wake wanapita watampelekea maana lile la Elimu BURE kasha lichukua.
Mimeisikia kauri ya waziri mstaafu juu ya elimu yetu kuwa mahututi na ndoto zake namunga mkono miakwamia mheshimiwa huyu. Pamoja na yote yaliyopita na kashfa nyingi juu yake naoma kama huyi mzee sasa amefahamu wapi alijikwaa. Hakika kuinua maendeleo ya nchii hii ni kuinua elimu yetu na si elimu hii ya makundi pia hatuwezi kuinua elimu kama hatukuwajali walimu wanaofundisha. Hongera Low,
walimu ni ngaz ya kufikia malengo yenuya kisiasa,mkipata mnchokitaka mnaanza kuwatukana mara mbayuwai na kutowajali.