Chakulagani
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 271
- 51
Hahahahha mkuu umemaliza kila kitu, sifa kubwa la hili kundi ni kugawa 0714444 kwa mfano Nyalandu, Chabruma na huyu Allan.kama huyu dogo Allan namfahamu sana jamaa anayemtafutie wanaume ni Steve Nyerere na inasemekana popote aendapo mchepuko wa Aunt Ezekiel jamaa hakosi, na mbaya zaidi juzi Arusha walilala room moja na mchepuko wa Aunt Ezekiel sasa hapo kuna nini tena kama sio mambo ya cameroonlowasa asigombee ili mume wako agombee sio?
CHABRUMA Baada ya kuaibika na waru kumshtukia kwisha habari yake kwa sasa,na Baada ya kuambiwa kuwa asioende kutumiwa 0712.....yake hovyohovyo amepotelea mbali,naona anakuja na.njia mbadala ya Allan(hahahhahaaaa)
Asipogombea hela yake aliyoonga itarudi vipi?
Tatizo mgombea wao Hauziki kabisa, so walichobaki ni kuzusha mambo kwa wenye nyota kungaa....ila ni advantage kwa Lowassa because jina lake linazidi kungaaaaaaaaaa sana sanaKuna mijitu mijinga sana,mda wote ni majungu,wasijue nyota ya Lowasa inang'aa sana
Mkuu alishawai kumhonga mume wako nini, ebu tupe habari anahonga wapi ili na sisi tukazichukue?
Well said mkuu....hawa vijana wa WAMA majinga kabisa, tatizo hawana strategies za kumuuza mtu wao, wenyewe ni kuzusha mambo ya kijinga jinga.....Ukimya wa Lowassa ndio ushindi wake aachane na hawa watu waliokwisha shindwa zamani sanaKila siku lowassa inaonekana anawaumiza sana vichwa....mnamrushia kila aina ya uchafu bila kutambua kuwa ndiye mteule wa taifa la tanzania 2015@@@@@acheni kutumika hivyo ndugu zangu yatupasa kuijenga nchi yetu na si kumchafua mtu kwa maslahi ya mjinga mmoja
Pesa anazoonga makanisani wewe huzioni?, yeye kama mtumishi wa umma hizo pesa kazitoa wapi?, kama hizo pesa anapewa na marafiki zake, atawafanya nini hao marafiki zake iwapo watakwepa kodi wakati yeye akiwa Rais?
Think critically
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.
Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.
Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.
Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.
Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.
Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.
Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.
Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.
Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.
Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.
Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.
Stay tune for more information.
Lowassa hawezi kuwa raisi
Tatizo la Membe wanaomuongoza, haiwezekani uongozwe na Makonda halafu uwe na akili timamu.
cheap politics..cant buy it...