Lakina kama wewe ni mtz nahali kama hiyo iko ! Namnajua hii ni inchi. Kwanini watu wa fiche hali yake nahali yakuwa inchi inatumiya mabilioni kwa ajili ya uchaguzi wanajidanganya wenyewe na sisi awe mungu ione tz yako na uihurumiye
Huyu mzee simpendi,lakini huwa sioni kama ni jambo la busara kumsimanga afya yake,suala la kuwa mgonjwa halijalish wewe ni tajiri au maskini.tumponde kwa mengine lakini mambo ya afya yake tumuachie yeye na mungu wake.