Haiitaji elimu kubwa sana kujua kama Lowassa anakubalika, ni macho pekee yatakudhihirishia kwamba anakubalika kulio maelezo.
Wewe nae ni ndina kweli! Unataka kutueleza kuwa wamempokea akiwa rais wa nchi au mgombea aliyeshindwa? Take in mind - lowassa ni waziri mkuu mstaafu so saluti ni halali yake
Askari wa Kenya wanampigia saluti, alafe wewe unaangaika humu JF kumchafua!